Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 8:9 - Swahili Revised Union Version

Yote humwelea yule afahamuye, Yote huelekea mbele yao waliopata maarifa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kwa mtu mwelewa kila kitu ni wazi, kwa mwenye maarifa yote ni sawa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kwa mtu mwelewa kila kitu ni wazi, kwa mwenye maarifa yote ni sawa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kwa mtu mwelewa kila kitu ni wazi, kwa mwenye maarifa yote ni sawa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa wenye kupambanua, yote ni sahihi; hayana kasoro kwa wale wenye maarifa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa wenye kupambanua yote ni sahihi; hayana kasoro kwa wale wenye maarifa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yote humwelea yule afahamuye, Yote huelekea mbele yao waliopata maarifa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 8:9
17 Marejeleo ya Msalaba  

Mwenye dharau hutafuta hekima, asiipate; Bali maarifa huwa mepesi kwa mwenye ufahamu.


Moyo wa mwenye ufahamu hutafuta maarifa; Bali kinywa cha wapumbavu hula upumbavu.


Kwa mtu mwenye akili njia ya uhai huenda juu; Ili atoke katika kuzimu chini.


Hekima huwa machoni pake mwenye ufahamu; Bali macho ya mpumbavu huwa katika ncha za dunia.


Moyo wa mwenye busara hupata maarifa; Na sikio la mwenye hekima hutafuta maarifa.


Heri mtu yule aonaye hekima, Na mtu yule apataye ufahamu.


Na hapo patakuwa na njia kuu, na njia, nayo itaitwa, Njia ya utakatifu; wasio safi hawatapita juu yake; bali itakuwa kwa ajili ya watu hao; wasafirio, wajapokuwa wajinga, hawatapotea katika njia hiyo.


Je! Litasemwa neno hili, enyi nyumba ya Yakobo, Roho ya BWANA imepunguzwa? Je! Haya ni matendo yake? Je! Maneno yangu hayamfai yeye aendaye kwa unyofu?


Imeandikwa katika manabii, Na wote watakuwa wamefundishwa na Mungu. Basi kila aliyesikia na kujifunza kwa Baba huja kwangu.


Mtu akipenda kuyatenda mapenzi yake, atajua habari ya yale mafunzo, kwamba yatoka kwa Mungu, au kwamba mimi nanena kwa nafsi yangu tu.


Lakini mmoja wenu akipungukiwa na hekima, na aombe dua kwa Mungu, awapaye wote, kwa ukarimu, wala hakemei; naye atapewa.