Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 8:7 - Swahili Revised Union Version

Maana kinywa changu kitasema kweli, Na uovu ni chukizo kwa midomo yangu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kinywa changu kitatamka kweli tupu; uovu ni chukizo midomoni mwangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kinywa changu kitatamka kweli tupu; uovu ni chukizo midomoni mwangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kinywa changu kitatamka kweli tupu; uovu ni chukizo midomoni mwangu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kinywa changu husema lililo kweli, kwa maana midomo yangu huchukia uovu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kinywa changu husema lililo kweli, kwa maana midomo yangu huchukia uovu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maana kinywa changu kitasema kweli, Na uovu ni chukizo kwa midomo yangu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 8:7
13 Marejeleo ya Msalaba  

Maana hakika maneno yangu si ya uongo; Aliyekamilika katika maarifa yu pamoja nawe.


Kinywa chake mwenye haki hunena hekima, Na ulimi wake husema hukumu.


Midomo ya uongo ni chukizo kwa BWANA; Bali watendao uaminifu ndio furaha yake.


Wafalme wakitenda yasiyo haki ni chukizo; Maana kiti cha enzi huthibitika kwa haki.


Mtu aliye dhalimu ni chukizo kwa wenye haki; Na mnyofu wa mwenendo ni chukizo kwa waovu.


Kwa kuwa torati ilitolewa kwa mkono wa Musa; neema na kweli zilikuja kwa mkono wa Yesu Kristo.


Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.


Uwatakase kwa ile kweli; neno lako ndiyo kweli.


Basi Pilato akamwambia, Wewe u mfalme basi? Yesu akajibu, Wewe wasema, kwa kuwa mimi ni mfalme. Mimi nimezaliwa kwa ajili ya haya, na kwa ajili ya haya mimi nilikuja ulimwenguni, ili niishuhudie kweli. Kila aliye wa hiyo kweli hunisikia sauti yangu.


Yesu akajibu, akawaambia, Mimi ningawa ninajishuhudia mwenyewe, ushuhuda wangu ndio kweli; kwa sababu najua nilikotoka na niendako; lakini ninyi hamjui nilikotoka wala niendako.


Kwa maana nasema, ya kwamba Kristo amefanyika mhudumu wa agano la kutahiriwa kwa ajili ya kweli ya Mungu, kusudi azithibitishe ahadi walizopewa baba zetu;


Na kwa malaika wa kanisa lililoko Laodikia andika; Haya ndiyo anenayo yeye aliye Amina, Shahidi aliye mwaminifu na wa kweli, mwanzo wa kuumba kwa Mungu.