Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 17:17 - Swahili Revised Union Version

17 Uwatakase kwa ile kweli; neno lako ndiyo kweli.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Waweke wakfu katika ukweli; neno lako ni ukweli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Waweke wakfu katika ukweli; neno lako ni ukweli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Waweke wakfu katika ukweli; neno lako ni ukweli.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Uwatakase kwa ile kweli; neno lako ndilo kweli.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Uwatakase kwa ile kweli, neno lako ndilo kweli.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

17 Uwatakase kwa ile kweli; neno lako ndiyo kweli.

Tazama sura Nakili




Yohana 17:17
23 Marejeleo ya Msalaba  

Na sasa, Ee Bwana MUNGU, wewe ndiwe Mungu, na maneno yako ndiyo kweli, nawe umemwahidia mtumishi wako jambo hili jema


Kwa mausia yako najipatia ufahamu, Ndiyo maana naichukia kila njia ya uongo.


Moyoni mwangu nimeliweka neno lako, Nisije nikakutenda dhambi.


Haki ya shuhuda zako ni ya milele, Unifahamishe, nami nitaishi.


Jumla ya neno lako ni kweli, Na kila hukumu ya haki yako ni ya milele.


Jinsi gani kijana aisafishe njia yake? Kwa kutii, akilifuata neno lako.


Maneno ya BWANA ni maneno safi, Ni fedha iliyojaribiwa kalibuni juu ya nchi; Iliyosafishwa mara saba.


Na huo mfano, maana yake ni hii; Mbegu ni neno la Mungu.


Na zile penye udongo mzuri, ndio wale ambao kwa unyofu na wema wa mioyo yao hulisikia neno, na kulishika; kisha huzaa matunda kwa kuvumilia.


Ninyi mmekwisha kuwa safi kwa sababu ya lile neno nililowaambia.


Na kwa ajili yao najiweka wakfu mwenyewe, ili na hao watakaswe katika kweli.


tena mtaifahamu kweli, nayo hiyo kweli itawaweka huru.


Lakini sasa mnatafuta kuniua mimi, mtu ambaye nimewaambia iliyo kweli, niliyoisikia kwa Mungu. Abrahamu hakufanya hivyo.


wala hakufanya tofauti kati yetu sisi na wao, akiwasafisha mioyo yao kwa imani.


Lakini sisi sote, kwa uso usiotiwa utaji, tukiurudisha utukufu wa Bwana, kama vile katika kioo, tunabadilishwa tufanane na mfano uo huo, toka utukufu hata utukufu, kama vile kwa utukufu utokao kwa Bwana, aliye Roho.


ikiwa kwa hakika mlisikia habari zake na kufundishwa katika yeye, kama kweli ilivyo katika Yesu,


ili makusudi alitakase na kulisafisha kwa maji katika neno;


Lakini imetupasa sisi kumshukuru Mungu sikuzote kwa ajili yenu, ndugu mliopendwa na Bwana, kwa kuwa Mungu amewachagua tangu mwanzo mpate wokovu, katika kutakaswa na Roho, na kuiamini kweli;


Kwa hiyo wekeeni mbali uchafu wote na ubaya uzidio, na kupokea kwa upole neno lile lililopandwa ndani, liwezalo kuziokoa roho zenu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo