Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 17:18 - Swahili Revised Union Version

18 Kama vile ulivyonituma mimi ulimwenguni, nami vivyo hivyo niliwatuma hao ulimwenguni.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Kama vile ulivyonituma ulimwenguni, nami pia nimewatuma wao ulimwenguni;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Kama vile ulivyonituma ulimwenguni, nami pia nimewatuma wao ulimwenguni;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Kama vile ulivyonituma ulimwenguni, nami pia nimewatuma wao ulimwenguni;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Kama vile ulivyonituma mimi ulimwenguni, nami nawatuma vivyo hivyo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Kama vile ulivyonituma mimi ulimwenguni, nami nawatuma vivyo hivyo.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

18 Kama vile ulivyonituma mimi ulimwenguni, nami vivyo hivyo niliwatuma hao ulimwenguni.

Tazama sura Nakili




Yohana 17:18
13 Marejeleo ya Msalaba  

Hao Kumi na Wawili Yesu aliwatuma, akawaagiza, akisema, Katika njia ya Mataifa msiende, wala katika mji wowote wa Wasamaria msiingie.


Kwa sababu hiyo, angalieni, mimi natuma kwenu manabii na wenye hekima na waandishi; na wengine wao ninyi mtawaua na kuwasulubisha, na wengine wao mtawapiga katika masinagogi yenu, na kuwafukuza mji kwa mji;


Wote wawe na umoja; kama wewe, Baba, ulivyo ndani yangu, nami ndani yako; hao nao wawe ndani yetu; ili ulimwengu upate kusadiki ya kwamba wewe ndiwe uliyenituma.


Mimi ndani yao, nawe ndani yangu, ili wawe wamekamilika katika umoja; ili ulimwengu ujue ya kuwa ndiwe uliyenituma, ukawapenda wao kama ulivyonipenda mimi.


Baba mwenye haki, ulimwengu haukukujua; lakini mimi nilikujua, na hao wamejua ya kuwa ndiwe uliyenituma.


Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.


Kwa kuwa maneno uliyonipa nimewapa wao; nao wakayapokea, wakajua hakika ya kuwa nilitoka kwako, wakasadiki ya kwamba wewe ndiwe uliyenituma.


Basi Yesu akawaambia tena, Amani iwe kwenu; kama Baba alivyonituma mimi, mimi nami nawatuma ninyi.


Maana Mungu hakumtuma Mwana ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali ulimwengu uokolewe katika yeye.


Mimi niliwatuma myavune yale msiyoyataabikia; wengine walitaabika, nanyi mmeingia katika taabu yao.


Basi tu wajumbe kwa ajili ya Kristo, kana kwamba Mungu anasihi kwa vinywa vyetu; twawaomba ninyi kwa ajili ya Kristo mpatanishwe na Mungu.


Injili hiyo ambayo nilifanywa mhudumu wake, kwa kadiri ya kipawa cha neema ya Mungu niliyopewa kwa kadiri ya utendaji wa uweza wake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo