Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 6:9 - Swahili Revised Union Version

Ewe mvivu, utalala hadi lini? Utaondoka lini katika usingizi wako?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ewe mvivu, utalala hapo mpaka lini? Utaamka lini katika usingizi wako?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ewe mvivu, utalala hapo mpaka lini? Utaamka lini katika usingizi wako?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ewe mvivu, utalala hapo mpaka lini? Utaamka lini katika usingizi wako?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ewe mvivu, utalala hata lini? Utaamka lini kutoka usingizi wako?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ewe mvivu, utalala hata lini? Utaamka lini kutoka usingizi wako?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ewe mvivu, utalala hadi lini? Utaondoka lini katika usingizi wako?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 6:9
15 Marejeleo ya Msalaba  

Enyi wajinga miongoni mwa watu, fikirini; Enyi wapumbavu, lini mtakapopata akili?


Enyi wajinga, hata lini mtapenda ujinga? Na wenye dharau kupenda dharau yao, Na wapumbavu kuchukia maarifa?


Uvivu humtia mtu katika usingizi mzito; Na nafsi yake mvivu itaona njaa.


Usipende usingizi usije ukawa maskini; Fumbua macho yako nawe utashiba chakula.


Kama vile mlango ugeukavyo katika bawaba zake; Kadhalika mtu mvivu katika kitanda chake.


Bado kulala kidogo, kusinzia kidogo, Bado kukunja mikono upate usingizi!


Ewe mvivu, mwendee chungu, Zitafakari njia zake ukapate hekima.


Lakini hujiwekea akiba ya chakula wakati wa jua; Hukusanya chakula chake wakati wa mavuno.


Mpumbavu huikunja mikono yake, Naye hula chakula chake mwenyewe;


Ee Yerusalemu, jioshe moyo wako usiwe na uovu, upate kuokoka. Mawazo yako mabaya yatakaa ndani yako hata lini?


Palitokea mtu, ametumwa kutoka kwa Mungu, jina lake Yohana.


Naam, tukiujua wakati, kwamba saa ya kuamka katika usingizi imekwisha kuwadia; kwa maana sasa wokovu wetu uko karibu nasi kuliko tulipoanza kuamini


Hivyo husema, Amka, wewe usinziaye, Ufufuke katika wafu, Na Kristo atakuangaza.