Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 5:23 - Swahili Revised Union Version

Atakufa huyo kwa kukosa maonyo, Naye atapotea kwa wingi wa ujinga wake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yeye hufa kwa utovu wa nidhamu, huangamia kwa sababu ya upuuzi wake mkuu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yeye hufa kwa utovu wa nidhamu, huangamia kwa sababu ya upuuzi wake mkuu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yeye hufa kwa utovu wa nidhamu, huangamia kwa sababu ya upuuzi wake mkuu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Atakufa kwa kukosa nidhamu, akipotoshwa kwa upumbavu wake mwenyewe.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Atakufa kwa kukosa nidhamu, akipotoshwa kwa upumbavu wake mwenyewe.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Atakufa huyo kwa kukosa maonyo, Naye atapotea kwa wingi wa ujinga wake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 5:23
11 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini wasiposikia, wataangamia kwa upanga, Nao watakufa pasipo maarifa.


Je! Kamba ya hema yao haikung'olewa ndani yao? Nao hufa hata bila kuwa na hekima.


Nikawaacha wakaenda kwa ukaidi wa mioyo yao, Waenende katika mashauri yao.


Naye atawarudishia uovu wao, Atawaangamiza katika ubaya wao, Naam, BWANA, Mungu wetu, atawaangamiza.


Kwa hiyo watakula matunda ya njia yao, Watashiba mashauri yao wenyewe.


Midomo ya mwenye haki hulisha watu wengi; Bali wapumbavu hufa kwa kuwa hawana ufahamu.


Mtu atasifiwa kwa kadiri ya akili zake; Bali mwenye moyo wa ukaidi atadharauliwa.


Ageukaye moyoni hushiba njia zake mwenyewe; Na mtu mwema ataridhika nafsini mwake.


Mtu mbaya husukumwa chini katika kutenda mabaya kwake; Bali mwenye haki ana matumaini katika kufa kwake.


Mtu aikosaye njia ya busara Atakaa katika mkutano wao waliokufa.