Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 4:9 - Swahili Revised Union Version

Atakupa neema kuwa kilemba kichwani; Na kukukirimia taji la uzuri.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Atakuvika kilemba kizuri kichwani pako, atakupa taji maridadi.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Atakuvika kilemba kizuri kichwani pako, atakupa taji maridadi.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Atakuvika kilemba kizuri kichwani pako, atakupa taji maridadi.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Atakuvika shada la neema kichwani mwako na kukupa taji la utukufu.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Atakuvika shada la neema kichwani mwako na kukupa taji ya utukufu.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Atakupa neema kuwa kilemba kichwani; Na kukukirimia taji la uzuri.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 4:9
12 Marejeleo ya Msalaba  

Na mambo yale usiyoyaomba nimekupa, mali na fahari, hata hapatakuwa na mtu katika wafalme kama wewe, siku zako zote.


Kwa maana hayo yatakuwa kilemba cha neema kichwani pako, Na mikufu shingoni mwako.


Wajinga hurithi upumbavu; Bali wenye busara huvikwa taji la maarifa.


Kichwa chenye mvi ni taji la utukufu, Kama kikionekana katika njia ya haki.


Basi yatakuwa uzima kwa nafsi yako, Na neema shingoni mwako.


Mwanangu, sikiliza, na kuzipokea kauli zangu; Na miaka ya maisha yako itakuwa mingi.


Katika siku ile BWANA wa majeshi atakuwa ni taji la fahari, na kilemba cha uzuri, kwa mabaki ya watu wake.


bali kuwe utu wa moyoni usioonekana, katika mapambo yasiyoharibika; yaani, roho ya upole na utulivu, iliyo ya thamani kuu mbele za Mungu.


Na Mchungaji mkuu atakapodhihirishwa, mtalipokea taji la utukufu, lile lisilokauka.


Yeye ashindaye, nitamridhia kuketi pamoja nami katika kiti changu cha enzi, kama mimi nilivyoshinda nikaketi pamoja na Baba yangu katika kiti chake cha enzi.