Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 4:9 - Swahili Revised Union Version

9 Atakupa neema kuwa kilemba kichwani; Na kukukirimia taji la uzuri.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Atakuvika kilemba kizuri kichwani pako, atakupa taji maridadi.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Atakuvika kilemba kizuri kichwani pako, atakupa taji maridadi.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Atakuvika kilemba kizuri kichwani pako, atakupa taji maridadi.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Atakuvika shada la neema kichwani mwako na kukupa taji la utukufu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Atakuvika shada la neema kichwani mwako na kukupa taji ya utukufu.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

9 Atakupa neema kuwa kilemba kichwani; Na kukukirimia taji la uzuri.

Tazama sura Nakili




Methali 4:9
12 Marejeleo ya Msalaba  

Na mambo yale usiyoyaomba nimekupa, mali na fahari, hata hapatakuwa na mtu katika wafalme kama wewe, siku zako zote.


Kwa maana hayo yatakuwa kilemba cha neema kichwani pako, Na mikufu shingoni mwako.


Wajinga hurithi upumbavu; Bali wenye busara huvikwa taji la maarifa.


Kichwa chenye mvi ni taji la utukufu, Kama kikionekana katika njia ya haki.


Basi yatakuwa uzima kwa nafsi yako, Na neema shingoni mwako.


Mwanangu, sikiliza, na kuzipokea kauli zangu; Na miaka ya maisha yako itakuwa mingi.


Katika siku ile BWANA wa majeshi atakuwa ni taji la fahari, na kilemba cha uzuri, kwa mabaki ya watu wake.


bali kuwe utu wa moyoni usioonekana, katika mapambo yasiyoharibika; yaani, roho ya upole na utulivu, iliyo ya thamani kuu mbele za Mungu.


Na Mchungaji mkuu atakapodhihirishwa, mtalipokea taji la utukufu, lile lisilokauka.


Yeye ashindaye, nitamridhia kuketi pamoja nami katika kiti changu cha enzi, kama mimi nilivyoshinda nikaketi pamoja na Baba yangu katika kiti chake cha enzi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo