Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 4:8 - Swahili Revised Union Version

8 Umtukuze, naye atakukuza; Atakupatia heshima, ukimkumbatia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Mthamini sana Hekima, naye atakutukuza; ukimshikilia atakupa heshima.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Mthamini sana Hekima, naye atakutukuza; ukimshikilia atakupa heshima.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Mthamini sana Hekima, naye atakutukuza; ukimshikilia atakupa heshima.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Mstahi, naye atakukweza; mkumbatie, naye atakuheshimu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Mstahi, naye atakukweza; mkumbatie, naye atakuheshimu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Umtukuze, naye atakukuza; Atakupatia heshima, ukimkumbatia.

Tazama sura Nakili




Methali 4:8
7 Marejeleo ya Msalaba  

Thawabu ya unyenyekevu ambao ni kumcha BWANA Ni utajiri, na heshima, nayo ni uzima.


Ana wingi wa siku katika mkono wake wa kulia, Utajiri na heshima katika mkono wake wa kushoto.


Wenye hekima wataurithi utukufu, Bali kukuzwa kwa wapumbavu ni fedheha.


Mkono wake wa kushoto uko chini ya kichwa changu, Nao wa kulia unanikumbatia!


Na walio na hekima watang'aa kama mwangaza wa anga; na hao waongozao wengi kutenda haki watang'aa kama nyota milele na milele.


Kwa sababu hiyo, BWANA, Mungu wa Israeli, asema, Ni kweli, nilisema ya kuwa nyumba yako, na nyumba ya baba yako itakwenda mbele zangu milele; lakini sasa BWANA asema, Jambo hili na liwe mbali nami; kwa maana wao wanaoniheshimu nitawaheshimu, na wao wanaonidharau nitawadharau.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo