Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 4:12 - Swahili Revised Union Version

Uendapo, hatua zako hazitadhiikika, Wala ukipiga mbio hutajikwaa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ukitembea hatua zako hazitazuiwa, wala ukikimbia hutajikwaa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ukitembea hatua zako hazitazuiwa, wala ukikimbia hutajikwaa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ukitembea hatua zako hazitazuiwa, wala ukikimbia hutajikwaa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Utembeapo, hatua zako hazitazuiliwa; ukimbiapo, hutajikwaa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Utembeapo, hatua zako hazitazuiliwa; ukimbiapo, hutajikwaa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Uendapo, hatua zako hazitadhiikika, Wala ukipiga mbio hutajikwaa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 4:12
15 Marejeleo ya Msalaba  

Umezifanyia nafasi hatua zangu, Wala miguu yangu haikuteleza.


Wana amani nyingi waipendao sheria yako, Wala hawana la kuwakwaza.


Nami nitakwenda kwa uhuru, Kwa kuwa nimejifunza mausia yako.


Umezipanulia nafasi hatua zangu, Na miguu yangu haikuteleza.


Ndipo utakapofahamu haki na hukumu, Na adili, na kila njia njema.


Ndipo utakapokwenda katika njia yako salama, Wala mguu wako hautakwaa.


Njia ya waovu ni kama giza; Hawajui ni kitu gani kiwakwazacho.


Uendapo yatakuongoza, ulalapo yatakulinda, Na uamkapo yatazungumza nawe.


Watakuja kwa kulia, na kwa maombi nitawaongoza; nitawapitisha kwenye mito ya maji, katika njia iliyonyoka; katika njia hiyo hawatajikwaa; maana mimi ni baba wa Israeli, na Efraimu ni mzaliwa wa kwanza wangu.


Tena, Jiwe la kujikwaza mguu, na mwamba wa kuangusha. Kwa maana hujikwaza kwa neno lile, wasiliamini, nao waliwekwa kusudi wapate hayo.