Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 4:19 - Swahili Revised Union Version

19 Njia ya waovu ni kama giza; Hawajui ni kitu gani kiwakwazacho.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Lakini njia ya waovu ni kama giza nene, hawajui kinachowafanya wajikwae.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Lakini njia ya waovu ni kama giza nene, hawajui kinachowafanya wajikwae.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Lakini njia ya waovu ni kama giza nene, hawajui kinachowafanya wajikwae.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Lakini njia ya waovu ni kama giza nene; hawajui kinachowafanya wajikwae.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Lakini njia ya waovu ni kama giza nene; hawajui kinachowafanya wajikwae.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

19 Njia ya waovu ni kama giza; Hawajui ni kitu gani kiwakwazacho.

Tazama sura Nakili




Methali 4:19
16 Marejeleo ya Msalaba  

Wao hupapasa gizani pasipokuwa na mwanga, Naye huwafanya kupepesuka kama mlevi.


Atakimbizwa kutoka mwangani hata gizani, Na kufukuzwa atoke duniani.


Wao hupatwa na giza wakati wa mchana, Hupapasa mchana vile vile kama usiku.


Hawajui wala hawafahamu, hutembea gizani; Misingi yote ya nchi imetikisika.


Watu waziachao njia za unyofu, Ili kuziendea njia za giza;


Miiba na mitego huwa katika njia ya mshupavu; Yeye aitunzaye nafsi yake atakuwa mbali nayo.


Mtukuzeni BWANA, Mungu wenu, kabla hajaleta giza, na kabla miguu yenu haijakwaa juu ya milima yenye giza; na wakati mnapoitazamia nuru, kabla hajaigeuza kuwa kivuli cha mauti, na giza nene.


Kwa ajili ya hayo njia yao itakuwa kwao kama mahali pa kuteleza gizani; watateremshwa na kuanguka hapo; kwa maana nitaleta uovu juu yao, naam, mwaka wa kujiliwa kwao, asema BWANA.


Waacheni; hao ni viongozi vipofu wa vipofu. Na kipofu akimwongoza kipofu mwenzake, watatumbukia shimoni wote wawili.


Ndipo nitawaambia dhahiri, Sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu.


Bali akienda usiku hujikwaa; kwa sababu nuru haimo ndani yake.


Basi Yesu akawaambia, Nuru ingaliko pamoja nanyi muda kidogo. Nendeni maadamu mnayo nuru hiyo, giza lisije likawaweza; maana aendaye gizani hajui aendako.


Bali yeye amchukiaye ndugu yake, yuko katika giza, tena anakwenda katika giza, wala hajui aendako, kwa sababu giza imempofusha macho.


Yeye atailinda miguu ya watakatifu wake; Bali waovu watanyamazishwa gizani, Maana kwa nguvu hakuna atakayeshinda;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo