Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 30:23 - Swahili Revised Union Version

Mwanamke mwenye kuchukiza aolewapo; Na mjakazi aliye mrithi wa bibi yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

mwanamke asiyependwa anayeolewa; na mjakazi achukuapo nafasi ya bibi yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

mwanamke asiyependwa anayeolewa; na mjakazi achukuapo nafasi ya bibi yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

mwanamke asiyependwa anayeolewa; na mjakazi achukuapo nafasi ya bibi yake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

mwanamke asiyependwa anapoolewa, na mjakazi anapochukua nafasi ya bibi yake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

mwanamke asiyependwa aolewapo, naye mtumishi wa kike achukuapo nafasi ya bibi yake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mwanamke mwenye kuchukiza aolewapo; Na mjakazi aliye mrithi wa bibi yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 30:23
8 Marejeleo ya Msalaba  

Mwanamke mwema ni taji la mumewe; Bali aaibishaye ni kama kuoza mifupani mwake.


Mwana mpumbavu ni msiba kwa babaye; Na ugomvi wa mke kama kudondoka kwa matone daima.


Ni afadhali kukaa katika nchi ya nyika; Kuliko na mwanamke mgomvi, mchokozi.


Ni afadhali kukaa katika pembe ya darini, Kuliko katika nyumba pana pamoja na mwanamke mgomvi.


Matone daima kudondoka siku ya mvua nyingi, Na mwanamke mgomvi ni sawasawa;


Amwendekezaye mtumwa wake tangu utoto, Mwisho wake atakuwa ni mwanawe.


Mtumwa apatapo kuwa mfalme; Mpumbavu ashibapo chakula;


Kuna viumbe vinne duniani vilivyo vidogo; Lakini vina akili nyingi sana.