Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 28:19 - Swahili Revised Union Version

Alimaye shamba lake atakuwa na chakula tele; Bali afuataye mambo ya upuzi atapata umaskini wa kumtosha.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Anayelima shamba lake atapata chakula kingi, bali anayefuata yasiyofaa atapata umaskini tele.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Anayelima shamba lake atapata chakula kingi, bali anayefuata yasiyofaa atapata umaskini tele.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Anayelima shamba lake atapata chakula kingi, bali anayefuata yasiyofaa atapata umaskini tele.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yeye alimaye shamba lake atakuwa na chakula tele, bali yule afuataye mambo ya upuzi atakuwa na umaskini wa kumtosha.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yeye alimaye shamba lake atakuwa na chakula tele, bali yule afuataye mambo ya upuzi atakuwa na umaskini wa kumtosha.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Alimaye shamba lake atakuwa na chakula tele; Bali afuataye mambo ya upuzi atapata umaskini wa kumtosha.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 28:19
9 Marejeleo ya Msalaba  

Alimaye shamba lake atakuwa na chakula tele; Bali afuataye mambo ya upuzi hana ufahamu.


Nenda pamoja na wenye hekima, nawe utakuwa na hekima; Bali rafiki wa wapumbavu ataumia.


Zizi ni safi ambapo hapana ng'ombe; Bali nguvu za ng'ombe zaleta faida nyingi.


Usipende usingizi usije ukawa maskini; Fumbua macho yako nawe utashiba chakula.


Hivyo, umaskini wako huja kama mnyang'anyi, Na uhitaji wako kama mtu mwenye silaha.


Wakampa vipande vya fedha sabini vilivyotoka katika nyumba ya Baal-berithi, na kwa fedha hizo Abimeleki akaajiri watu wapuuzi mabaradhuli, wafuatane naye.