Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 27:4 - Swahili Revised Union Version

Ghadhabu ni kali, na hasira ni gharika; Lakini ni nani awezaye kusimama mbele ya wivu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ghadhabu ni katili na hasira huangamiza; lakini ni nani awezaye kuukabili wivu?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ghadhabu ni katili na hasira huangamiza; lakini ni nani awezaye kuukabili wivu?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ghadhabu ni katili na hasira huangamiza; lakini ni nani awezaye kuukabili wivu?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hasira ni ukatili na ghadhabu kali ni gharika, lakini ni nani awezaye kusimama mbele ya wivu?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hasira ni ukatili na ghadhabu kali ni gharika, lakini ni nani awezaye kusimama mbele ya wivu?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ghadhabu ni kali, na hasira ni gharika; Lakini ni nani awezaye kusimama mbele ya wivu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 27:4
18 Marejeleo ya Msalaba  

Akawa na mali ya kondoo, na mali ya ng'ombe, na watumwa wengi. Hao Wafilisti wakamhusudu.


Ndugu zake wakamhusudu; bali baba yake akalihifadhi neno hili.


Onani alijua ya kwamba huo uzao hautakuwa wake, ikawa, alipoingia kwa mke wa nduguye, alimwaga mbegu chini asimpe nduguye uzao.


Kwani hasira humwua mtu mpumbavu, Nao wivu humwua mjinga.


Moyo ulio mzima ni uhai wa mwili; Bali husuda ni ubovu wa mifupa.


Jiwe ni zito, na mchanga hulemea; Lakini ghadhabu ya mpumbavu ni nzito kuliko hivi vyote viwili.


Maana wivu ni ghadhabu ya mtu; Wala hatahurumia siku ya kujilipizia kisasi.


Nitie kama mhuri moyoni mwako, Kama mhuri juu ya mkono wako; Kwa maana upendo una nguvu kama mauti, Na wivu ni mkali kama ahera. Mwako wake ni mwako wa moto, Na miali yake ni miali ya Yahu.


Kwa maana alijua ya kuwa wamemtoa kwa ajili ya husuda.


Na Wayahudi wakaona wivu, wakajitwalia watu kadhaa miongoni mwa watu ovyo wasio na sifa njema, nao wakakutanisha mkutano, wakafanya ghasia mjini, wakawaendea watu wa nyumba ya Yasoni, wakataka kuwapeleka mbele ya watu wa mji;


Akaondoka Kuhani Mkuu na wote waliokuwa pamoja naye, (hao ndio walio wa madhehebu ya Masadukayo), wamejaa wivu,


Wale wazee wetu wakimwonea wivu Yusufu, wakamwuza aende Misri. Mungu akawa pamoja naye,


Wamejawa na udhalimu wa kila namna, uovu na tamaa na ubaya; wamejawa na husuda, na uuaji, na fitina, na hadaa; watu wa nia mbaya, wenye kusengenya,


si kama Kaini alivyokuwa wa yule mwovu, akamwua ndugu yake. Naye alimwua kwa sababu gani? Kwa sababu matendo yake yalikuwa mabaya, na ya ndugu yake yalikuwa ya haki.


Sauli akamwonea Daudi wivu tangu siku ile.