Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 6:34 - Swahili Revised Union Version

34 Maana wivu ni ghadhabu ya mtu; Wala hatahurumia siku ya kujilipizia kisasi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

34 Maana wivu wa mume humfanya kuwa mkali kabisa; wakati atakapolipiza kisasi hana cha kuhurumia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

34 Maana wivu wa mume humfanya kuwa mkali kabisa; wakati atakapolipiza kisasi hana cha kuhurumia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

34 Maana wivu wa mume humfanya kuwa mkali kabisa; wakati atakapolipiza kisasi hana cha kuhurumia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

34 kwa maana wivu huamsha ghadhabu ya mume, naye hataonesha huruma alipizapo kisasi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

34 kwa maana wivu huamsha ghadhabu ya mume, naye hataonyesha huruma alipizapo kisasi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

34 Maana wivu ni ghadhabu ya mtu; Wala hatahurumia siku ya kujilipizia kisasi.

Tazama sura Nakili




Methali 6:34
12 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa bwana wake aliposikia maneno aliyoambia na mkewe, akisema, Mtumwa wako amenitendea mambo kama haya, hasira yake ikawaka.


Yule mwanamke akachukua mimba; basi akapeleka habari na kumwambia Daudi, akasema, Ni mja mzito.


Mali hazifaidii kitu siku ya ghadhabu; Bali haki huokoa na mauti.


Ghadhabu ni kali, na hasira ni gharika; Lakini ni nani awezaye kusimama mbele ya wivu.


Atapata jeraha na kuvunjiwa heshima; Wala fedheha yake haitafutika.


Hatakubali fidia yoyote; Wala hatakuwa radhi, ujapomlipa vitu vingi.


Nitie kama mhuri moyoni mwako, Kama mhuri juu ya mkono wako; Kwa maana upendo una nguvu kama mauti, Na wivu ni mkali kama ahera. Mwako wake ni mwako wa moto, Na miali yake ni miali ya Yahu.


Tazama, nitawaamsha Wamedi juu yao, ambao hawaoni fedha kuwa kitu, wala hawafurahii dhahabu.


Finehasi, mwana wa Eleazari, mwana wa Haruni kuhani, amezigeuza hasira zangu zisiwe juu ya wana Wa Israeli, kwa kuwa alikuwa na wivu kati yao kwa wivu wangu mimi, hata nisiwaangamize wana wa Israeli katika wivu wangu.


kisha mumewe akashikwa na roho ya wivu, akamwonea wivu mkewe, naye akawa najisi huyo mwanamke; au kama akiingiwa na roho ya wivu, akamwonea wivu mkewe, naye hakuwa na unajisi huyo mke;


Au twamtia Bwana wivu? Je! Tuna nguvu zaidi ya yeye?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo