Methali 6:34 - Swahili Revised Union Version34 Maana wivu ni ghadhabu ya mtu; Wala hatahurumia siku ya kujilipizia kisasi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema34 Maana wivu wa mume humfanya kuwa mkali kabisa; wakati atakapolipiza kisasi hana cha kuhurumia. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND34 Maana wivu wa mume humfanya kuwa mkali kabisa; wakati atakapolipiza kisasi hana cha kuhurumia. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza34 Maana wivu wa mume humfanya kuwa mkali kabisa; wakati atakapolipiza kisasi hana cha kuhurumia. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu34 kwa maana wivu huamsha ghadhabu ya mume, naye hataonesha huruma alipizapo kisasi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu34 kwa maana wivu huamsha ghadhabu ya mume, naye hataonyesha huruma alipizapo kisasi. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI34 Maana wivu ni ghadhabu ya mtu; Wala hatahurumia siku ya kujilipizia kisasi. Tazama sura |