Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 6:35 - Swahili Revised Union Version

35 Hatakubali fidia yoyote; Wala hatakuwa radhi, ujapomlipa vitu vingi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

35 Hatakubali fidia yoyote; wala kutulizwa na zawadi zako nyingi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

35 Hatakubali fidia yoyote; wala kutulizwa na zawadi zako nyingi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

35 Hatakubali fidia yoyote; wala kutulizwa na zawadi zako nyingi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

35 Hatakubali fidia yoyote; atakataa malipo, hata yakiwa makubwa kiasi gani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

35 Hatakubali fidia yoyote; atakataa malipo, hata yakiwa makubwa kiasi gani.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

35 Hatakubali fidia yoyote; Wala hatakuwa radhi, ujapomlipa vitu vingi.

Tazama sura Nakili




Methali 6:35
10 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Naamani, jemadari wa jeshi la mfalme wa Shamu, alikuwa mtu mkubwa mbele ya bwana wake, na mwenye kuheshimiwa, kwa sababu kwa mkono wake BWANA alikuwa amewapa Washami kushinda; tena alikuwa mtu hodari wa vita; lakini alikuwa mwenye ukoma.


Maana nilikuwa mwana kwa baba yangu, Mpole, mpenzi wa pekee wa mama yangu.


Maana wivu ni ghadhabu ya mtu; Wala hatahurumia siku ya kujilipizia kisasi.


Mwanangu, yashike maneno yangu, Na kuziweka amri zangu akiba kwako.


Basi akamshika, akambusu, Akamwambia kwa uso usio na haya,


Kabla milima haijawekwa imara, Kabla ya vilima nilizaliwa.


Maji mengi hayawezi kuuzimisha upendo, Wala mito haiwezi kuuzamisha; Kama mtu angetoa badala ya upendo Mali yote ya nyumbani mwake, Angedharauliwa kabisa.


Tazama, nitawaamsha Wamedi juu yao, ambao hawaoni fedha kuwa kitu, wala hawafurahii dhahabu.


Mtu mnyonge huinama, na mtu mkubwa hujidhili; kwa hiyo usiwasamehe.


Kwa sababu hiyo mimi nami nimewafanya ninyi kuwa kitu cha kudharauliwa, na unyonge, mbele ya watu wote, kama vile ninyi msivyozishika njia zangu, bali mmewapendelea watu katika sheria.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo