Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 26:16 - Swahili Revised Union Version

Mtu mvivu ni mwenye hekima machoni pake, Kuliko watu saba wawezao kutoa sababu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mvivu hujiona kuwa mwenye hekima kuliko watu saba wawezao kujibu kwa busara.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mvivu hujiona kuwa mwenye hekima kuliko watu saba wawezao kujibu kwa busara.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mvivu hujiona kuwa mwenye hekima kuliko watu saba wawezao kujibu kwa busara.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mtu mvivu ni mwenye hekima machoni pake mwenyewe, kuliko watu saba wawezao kujibu kwa busara.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mtu mvivu ni mwenye hekima machoni pake mwenyewe, kuliko watu saba wawezao kujibu kwa busara.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mtu mvivu ni mwenye hekima machoni pake, Kuliko watu saba wawezao kutoa sababu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 26:16
5 Marejeleo ya Msalaba  

Njia ya mpumbavu imenyoka machoni pake mwenyewe; Bali yeye aliye na hekima husikiliza shauri.


Je! Wamwona mtu mwenye hekima machoni pake mwenyewe? Afadhali kumtumaini mpumbavu kuliko yeye.


Mwanangu, uwe na hekima na kunifurahisha moyo wangu; Ili nipate kumjibu anilaumuye.


Ewe mvivu, mwendee chungu, Zitafakari njia zake ukapate hekima.


Muwe tayari siku zote kumjibu kila mtu awaulizaye habari za tumaini lililo ndani yenu; lakini kwa upole na kwa heshima.