Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 26:17 - Swahili Revised Union Version

17 Mtu apitaye na kujisumbua kwa ugomvi usio wake; Ni kama mtu ashikaye mbwa kwa masikio yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Ajiingizaye katika ugomvi usiomhusu, ni kama mtu amshikaye masikio mbwa anayepita.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Ajiingizaye katika ugomvi usiomhusu, ni kama mtu amshikaye masikio mbwa anayepita.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Ajiingizaye katika ugomvi usiomhusu, ni kama mtu amshikaye masikio mbwa anayepita.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Kama yeye amkamataye mbwa kwa masikio, ndivyo alivyo mtu apitaye njiani na kujiingiza kwenye ugomvi usiomhusu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Kama yeye amkamataye mbwa kwa masikio, ndivyo alivyo mtu apitaye njiani na kujiingiza kwenye ugomvi usiomhusu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

17 Mtu apitaye na kujisumbua kwa ugomvi usio wake; Ni kama mtu ashikaye mbwa kwa masikio yake.

Tazama sura Nakili




Methali 26:17
7 Marejeleo ya Msalaba  

Mtu mwovu hataki neno ila kuasi tu; Kwa hiyo mjumbe mkali atatumwa kwake.


Midomo ya mpumbavu huingia katika fitina, Na kinywa chake huita mapigo.


Mtu kujitenga na ugomvi ni heshima kwake; Bali kila mpumbavu ataka kugombana.


Kama mtu mwenye wazimu atupaye mienge, Na mishale, na mauti;


Usishindane na mtu bila sababu, Ikiwa hakukudhuru kwa lolote.


Akamwambia, Mtu wewe, ni nani aliyeniweka mimi kuwa mwamuzi au mgawanyi juu yenu?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo