Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 26:16 - Swahili Revised Union Version

16 Mtu mvivu ni mwenye hekima machoni pake, Kuliko watu saba wawezao kutoa sababu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Mvivu hujiona kuwa mwenye hekima kuliko watu saba wawezao kujibu kwa busara.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Mvivu hujiona kuwa mwenye hekima kuliko watu saba wawezao kujibu kwa busara.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Mvivu hujiona kuwa mwenye hekima kuliko watu saba wawezao kujibu kwa busara.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Mtu mvivu ni mwenye hekima machoni pake mwenyewe, kuliko watu saba wawezao kujibu kwa busara.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Mtu mvivu ni mwenye hekima machoni pake mwenyewe, kuliko watu saba wawezao kujibu kwa busara.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

16 Mtu mvivu ni mwenye hekima machoni pake, Kuliko watu saba wawezao kutoa sababu.

Tazama sura Nakili




Methali 26:16
5 Marejeleo ya Msalaba  

Njia ya mpumbavu imenyoka machoni pake mwenyewe; Bali yeye aliye na hekima husikiliza shauri.


Je! Wamwona mtu mwenye hekima machoni pake mwenyewe? Afadhali kumtumaini mpumbavu kuliko yeye.


Mwanangu, uwe na hekima na kunifurahisha moyo wangu; Ili nipate kumjibu anilaumuye.


Ewe mvivu, mwendee chungu, Zitafakari njia zake ukapate hekima.


Muwe tayari siku zote kumjibu kila mtu awaulizaye habari za tumaini lililo ndani yenu; lakini kwa upole na kwa heshima.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo