Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 26:18 - Swahili Revised Union Version

18 Kama mtu mwenye wazimu atupaye mienge, Na mishale, na mauti;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Kama mwendawazimu achezeavyo mienge, au mishale ya kifo,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Kama mwendawazimu achezeavyo mienge, au mishale ya kifo,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Kama mwendawazimu achezeavyo mienge, au mishale ya kifo,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Kama mwendawazimu atupaye mishale ya moto ya kufisha,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Kama mtu mwendawazimu atupaye vijinga vya moto au mishale ya kufisha,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

18 Kama mtu mwenye wazimu atupaye mienge, Na mishale, na mauti;

Tazama sura Nakili




Methali 26:18
5 Marejeleo ya Msalaba  

Wapiga mishale walimtenda machungu, Wakamlenga na kumbana sana


Mtu amshuhudiaye jirani yake uongo Ni nyundo, na upanga, na mshale mkali.


Hata mshale umchome maini; Kama ndege aendaye haraka mtegoni; Wala hajui ya kuwa ni hasara ya nafsi yake.


Tazama, ninyi nyote mwashao moto, mjifungiao hiyo mienge; endeni ninyi katika muali wa moto wenu, na katikati ya mienge mliyoiwasha. Mtayapata haya kwa mkono wangu; mtalala kwa huzuni.


Samsoni akaenda akakamata mbweha mia tatu; kisha akatwaa mienge ya moto akawafunga mbweha mkia kwa mkia, akatia mwenge kati ya kila mikia miwili.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo