Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 26:19 - Swahili Revised Union Version

19 Ndivyo alivyo amdanganyaye mwenzake, Na kusema, Je! Sikufanya mzaha tu?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 ndivyo alivyo mtu ampotoshaye jirani, kisha aseme, “Nilikuwa natania tu!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 ndivyo alivyo mtu ampotoshaye jirani, kisha aseme, “Nilikuwa natania tu!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 ndivyo alivyo mtu ampotoshaye jirani, kisha aseme, “Nilikuwa natania tu!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 ndivyo alivyo mtu amdanganyaye jirani yake na kusema, “Nilikuwa nikifanya mzaha tu!”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 ndivyo alivyo mtu amdanganyaye jirani yake na kusema, “Nilikuwa nikifanya mzaha tu!”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

19 Ndivyo alivyo amdanganyaye mwenzake, Na kusema, Je! Sikufanya mzaha tu?

Tazama sura Nakili




Methali 26:19
6 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa mpumbavu kutenda maovu ni kama mchezo; Bali mtu mwenye ufahamu ana hekima.


Wapumbavu huidharau hatia; Bali upo upendeleo kwa wenye haki.


Upumbavu ni furaha kwake aliyepungukiwa na akili; Bali mwenye ufahamu huunyosha mwenendo wake.


Usimshuhudie jirani yako pasipo sababu, Wala usidanganye kwa midomo yako.


wala aibu wala maneno ya upuzi wala ubishi; hayo hayapendezi; bali kuwepo kushukuru.


Wakipatikana na madhara, ambayo ni ujira wa udhalimu wao, wakidhania kuwa ulevi wakati wa mchana ni anasa; wamekuwa ni mawaa na aibu wakifuata anasa zisizo kiasi katika karamu zao za upendo, wafanyapo karamu pamoja nanyi;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo