Methali 26:19 - Swahili Revised Union Version19 Ndivyo alivyo amdanganyaye mwenzake, Na kusema, Je! Sikufanya mzaha tu? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema19 ndivyo alivyo mtu ampotoshaye jirani, kisha aseme, “Nilikuwa natania tu!” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND19 ndivyo alivyo mtu ampotoshaye jirani, kisha aseme, “Nilikuwa natania tu!” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza19 ndivyo alivyo mtu ampotoshaye jirani, kisha aseme, “Nilikuwa natania tu!” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu19 ndivyo alivyo mtu amdanganyaye jirani yake na kusema, “Nilikuwa nikifanya mzaha tu!” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu19 ndivyo alivyo mtu amdanganyaye jirani yake na kusema, “Nilikuwa nikifanya mzaha tu!” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI19 Ndivyo alivyo amdanganyaye mwenzake, Na kusema, Je! Sikufanya mzaha tu? Tazama sura |