Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 24:23 - Swahili Revised Union Version

Haya nayo pia ni maneno ya wenye akili. Kupendelea watu katika hukumu si kwema.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ifuatayo pia ni misemo ya wenye hekima: Kupendelea watu katika hukumu si vizuri.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ifuatayo pia ni misemo ya wenye hekima: Kupendelea watu katika hukumu si vizuri.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ifuatayo pia ni misemo ya wenye hekima: Kupendelea watu katika hukumu si vizuri.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hii pia ni misemo ya wenye hekima: Kuonesha upendeleo katika hukumu si vyema:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hii pia ni misemo ya wenye hekima: Kuonyesha upendeleo katika hukumu si vyema:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Haya nayo pia ni maneno ya wenye akili. Kupendelea watu katika hukumu si kwema.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 24:23
18 Marejeleo ya Msalaba  

Basi sasa hofu ya BWANA na iwe juu yenu; aiweni waangalifu katika jambo mtendalo, kwa maana kwa BWANA, Mungu wetu hakuna upotoshaji wala kupendelea nafsi za watu au kupokea rushwa.


Je! Mtamwonesha yeye upendeleo? Mtamtetea Mungu?


Aliye na hekima na ayaangalie hayo; Na wazitafakari fadhili za BWANA.


Kufahamu mithali na kitendawili, na maneno ya wenye hekima na mafumbo yao.


Kukubali uso wake asiye haki si vizuri; Wala kumpotosha mwenye haki hukumuni.


Tega sikio lako uyasikie maneno ya wenye hekima, na kuuelekeza moyo wako kwa maarifa yangu;


Kupendelea watu si kwema; Wala mtu kuasi kwa ajili ya kipande cha mkate.


Ni nani aliye na hekima, naye atayafahamu mambo haya? Ni nani aliye na busara, naye atayajua? Kwa maana njia za BWANA zimenyoka, nao wenye haki watakwenda katika njia hizo; bali waasio wataanguka ndani yake.


Msitende yasiyo haki katika hukumu, usimpendelee mtu maskini, wala kumstahi mwenye nguvu; bali utamhukumu jirani yako kwa haki.


Basi msihukumu kwa kuangalia kwa nje tu, bali ifanyeni hukumu iliyo ya haki.


Msitazame nafsi za watu katika hukumu; muwasikize wadogo na wakubwa sawasawa; msiche uso wa mtu yeyote; kwa kuwa hukumu ni ya Mungu; na lile neno liwashindalo mniletee mimi, nami nitalisikiza.


Usipotoe maamuzi; wala usipendelee uso wa mtu; wala usitwae rushwa; kwa kuwa rushwa hupofusha macho ya wenye akili, na kugeuza kesi wa wenye haki.


Lakini hekima itokayo juu, kwanza ni safi, tena ni ya amani, ya upole, tayari kusikiliza maneno ya watu, imejaa rehema na matunda mema, haina fitina, haina unafiki.


Na ikiwa mnamwita Baba, yeye ahukumuye kila mtu pasipo upendeleo, kwa kadiri ya kazi yake, nendeni kwa hofu katika wakati wenu wa kukaa hapa kama wageni.