Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 24:22 - Swahili Revised Union Version

22 Maana msiba wao utatokea kwa ghafla; Tena ni nani aujuaye uharibifu wa miaka yao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

22 maana maangamizi yao huwapata ghafla. Hakuna ajuaye maafa watakayozusha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 maana maangamizi yao huwapata ghafla. Hakuna ajuaye maafa watakayozusha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 maana maangamizi yao huwapata ghafla. Hakuna ajuaye maafa watakayozusha.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

22 kwa maana hao wawili watatuma maangamizi ya ghafula juu yao, naye ni nani ajuaye maafa wawezayo kuleta?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

22 kwa maana hao wawili watatuma maangamizi ya ghafula juu yao, naye ni nani ajuaye maafa wawezayo kuleta?

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

22 Maana msiba wao utatokea kwa ghafla; Tena ni nani aujuaye uharibifu wa miaka yao.

Tazama sura Nakili




Methali 24:22
13 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo wageni wote waliokuwa pamoja na Adonia wakaogopa, wakaondoka, wakaenda zao kila mtu njia yake.


Ni nani aujuaye uweza wa hasira yako? Na ghadhabu yako inayolingana na kicho chako?


Hasira ya mfalme ni kama wajumbe wa mauti; Lakini mtu mwenye hekima ataituliza.


Utisho wa mfalme ni kama ngurumo ya simba; Amkasirishaye huitendea dhambi nafsi yake.


Kwa maana mwenye haki huanguka mara saba akaondoka tena; Bali wasio haki hukwazwa na mabaya.


Basi msiba utampata kwa ghafla; Ghafla atavunjika, bila njia ya kupona.


Maana mwanadamu naye hajui wakati wake; kama samaki wanaokamatwa katika nyavu mbaya, na mfano wa ndege wanaonaswa mtegoni, kadhalika wanadamu hunaswa katika wakati mbaya, unapowaangukia kwa ghafla.


Efraimu ameonewa, amesetwa katika hukumu, kwa sababu alikuwa radhi kufuata ubatili.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo