Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 28:21 - Swahili Revised Union Version

21 Kupendelea watu si kwema; Wala mtu kuasi kwa ajili ya kipande cha mkate.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Si vizuri kumbagua mtu; watu hufanya mabaya hata kwa kipande cha mkate.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Si vizuri kumbagua mtu; watu hufanya mabaya hata kwa kipande cha mkate.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Si vizuri kumbagua mtu; watu hufanya mabaya hata kwa kipande cha mkate.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Kuonesha upendeleo si vizuri, hata hivyo mtu atafanya kosa kwa kipande cha mkate.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Kuonyesha upendeleo si vizuri, hata hivyo mtu atafanya kosa kwa kipande cha mkate.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

21 Kupendelea watu si kwema; Wala mtu kuasi kwa ajili ya kipande cha mkate.

Tazama sura Nakili




Methali 28:21
11 Marejeleo ya Msalaba  

Usiwafuate walio wengi kutenda uovu; wala usitie ushahidi wako katika neno lolote kwa kugeukia kando na kuandamana na mkutano ili kupotoa hukumu;


Nawe usipokee rushwa; kwani hiyo rushwa huwapofusha macho hao waonao, na kuyapotoa maneno ya wenye haki.


Kukubali uso wake asiye haki si vizuri; Wala kumpotosha mwenye haki hukumuni.


Haya nayo pia ni maneno ya wenye akili. Kupendelea watu katika hukumu si kwema.


Nanyi mmeninajisi kati ya watu wangu, kwa ajili ya makonzi ya shayiri na vipande vya mkate, ili kuziua roho za watu ambao haiwapasi kufa, na kuzihifadhi hai roho za watu ambao haikuwapasa kuwa hai, kwa kuwaambia uongo watu wangu wasikilizao uongo.


Kileo chao kimegeuka kuwa uchungu; huzini daima; wakuu wake hupenda aibu.


BWANA asema hivi kuhusu manabii wanaowakosesha watu wangu; hao waumao kwa meno yao, na kulia, Amani; na mtu awaye yote asiyetia kitu vinywani mwao, wao humwandalia vita.


Mikono yao ni hodari kwa kutenda maovu; afisa na hakimu wanataka rushwa, mtu mkubwa hunena madhara yaliyomo rohoni mwake; hivyo ndivyo wayafumavyo hayo pamoja.


Kwa sababu walio hivyo hawamtumikii Bwana wetu Kristo, bali matumbo yao wenyewe; na kwa maneno laini na ya kujipendekeza waidanganya mioyo ya watu wanyofu.


Msitazame nafsi za watu katika hukumu; muwasikize wadogo na wakubwa sawasawa; msiche uso wa mtu yeyote; kwa kuwa hukumu ni ya Mungu; na lile neno liwashindalo mniletee mimi, nami nitalisikiza.


Na kwa tamaa yao watajipatia faida kwenu kwa maneno yaliyotungwa; wao ambao hukumu yao tangu zamani haikawii, wala maangamizi yao hayasinzii.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo