Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 22:17 - Swahili Revised Union Version

17 Tega sikio lako uyasikie maneno ya wenye hekima, na kuuelekeza moyo wako kwa maarifa yangu;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Tega sikio usikie maneno ya wenye hekima, elekeza moyo wako uzingatie maarifa yangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Tega sikio usikie maneno ya wenye hekima, elekeza moyo wako uzingatie maarifa yangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Tega sikio usikie maneno ya wenye hekima, elekeza moyo wako uzingatie maarifa yangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Tega sikio na usikie misemo ya wenye hekima, elekeza moyo wako kwenye yale nifundishayo,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Tega sikio na usikie misemo ya wenye hekima, elekeza moyo wako kwenye yale nifundishayo,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

17 Tega sikio lako uyasikie maneno ya wenye hekima, na kuuelekeza moyo wako kwa maarifa yangu;

Tazama sura Nakili




Methali 22:17
16 Marejeleo ya Msalaba  

Enyi watu wangu, sikilizeni sheria yangu, Tegeni masikio kwa maneno ya kinywa changu.


Basi, utufundishe kuzihesabu siku zetu, Tujipatie moyo wa hekima.


kufundishwa matendo ya busara, katika haki na hukumu na adili.


Elekeza moyo wako kusikiliza mafundisho; Tega masikio yako kusikia maneno ya maarifa.


Haya nayo pia ni maneno ya wenye akili. Kupendelea watu katika hukumu si kwema.


Mwanangu, usiisahau sheria yangu, Bali moyo wako uzishike amri zangu.


Maneno yao wenye hekima huwa mfano wa michokoo; na kama misumari iliyogongomewa sana; ndivyo yalivyo maneno yao walio wakuu wa makusanyiko, ambayo yatoka kwa mchungaji mmoja.


Nikageuka, na moyo wangu ulikazwa katika kujua na kupeleleza, na kuitafuta hekima, na maana ya mambo yaliyoko; ili nifahamu ya kuwa uovu ni upumbavu, na upumbavu ni wazimu.


Mimi nilipotia moyo wangu katika kuijua hekima, na kuuona utumishi uliofanyika juu ya nchi, (maana kuna asiyepata usingizi kwa macho yake mchana wala usiku);


Mambo hayo yote nimeyaona, nikatia moyo wangu katika kila kazi iliyofanyika chini ya jua. Kuna wakati ambapo mtu mmoja anayo mamlaka juu ya mwenziwe kwa hasira yake.


Tegeni masikio yenu, na kunijia; Sikieni, na nafsi zenu zitaishi; Nami nitafanya nanyi agano la milele, Naam, rehema za Daudi zilizo imara.


Alipokuwa bado akisema, tazama, wingu jeupe likawatia uvuli; na tazama, sauti ikatoka katika lile wingu, ikasema, Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu, ninayependezwa naye; msikieni yeye.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo