Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 21:6 - Swahili Revised Union Version

Kupata akiba ya mali kwa ulimi wa uongo Ni moshi upeperushwao; ni kutafuta mauti.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mali ipatikanayo kwa udanganyifu, ni mvuke upitao na mtego wa kifo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mali ipatikanayo kwa udanganyifu, ni mvuke upitao na mtego wa kifo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mali ipatikanayo kwa udanganyifu, ni mvuke upitao na mtego wa kifo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mali iliyopatikana kwa ulimi wa uongo ni mvuke upitao upesi na mtego wa kufisha.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mali iliyopatikana kwa ulimi wa uongo ni mvuke upitao upesi na mtego wa kufisha.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kupata akiba ya mali kwa ulimi wa uongo Ni moshi upeperushwao; ni kutafuta mauti.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 21:6
12 Marejeleo ya Msalaba  

Hazina za uovu hazifaidii kitu; Bali haki huokoa na mauti.


Mali iliyopatikana kwa haraka itapunguka; Bali yeye achumaye kidogo kidogo atazidishiwa.


Haifai kitu, haifai kitu, asema mnunuzi; Lakini akiisha kwenda zake hujisifu.


Urithi uliopatikana mwanzo kwa haraka, Mwisho wake, lakini, hautabarikiwa.


Yeye apandaye uovu atavuna msiba, Na fimbo ya ghadhabu yake itakoma.


Uniondolee ubatili na uongo; Usinipe umaskini wala utajiri; Unilishe chakula kilicho kadiri yangu.


Bali anikosaye hujidhuru nafsi yake mwenyewe, Na wao wanichukiao hupenda mauti.


Kama kware akusanyaye makinda asiyoyaangua, ndivyo alivyo mtu ajipatiaye mali, wala si kwa haki, katikati ya maisha yake itamtoka, na mwisho wake atakuwa mpumbavu.


Tupilieni mbali nanyi makosa yenu yote mliyoyakosa; jifanyieni moyo mpya na roho mpya; mbona mnataka kufa, enyi nyumba ya Israeli?


Hao wanapindua watu wa nyumba nzima, wakifundisha yasiyowapasa kwa ajili ya mapato ya aibu.


Na kwa tamaa yao watajipatia faida kwenu kwa maneno yaliyotungwa; wao ambao hukumu yao tangu zamani haikawii, wala maangamizi yao hayasinzii.