Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 20:21 - Swahili Revised Union Version

21 Urithi uliopatikana mwanzo kwa haraka, Mwisho wake, lakini, hautabarikiwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Mali iliyopatikana kwa haraka mwanzoni, haitakuwa ya heri mwishoni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Mali iliyopatikana kwa haraka mwanzoni, haitakuwa ya heri mwishoni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Mali iliyopatikana kwa haraka mwanzoni, haitakuwa ya heri mwishoni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Urithi upatikanao haraka mwanzoni, hautabarikiwa mwishoni.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Urithi upatikanao haraka mwanzoni, hautabarikiwa mwishoni.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

21 Urithi uliopatikana mwanzo kwa haraka, Mwisho wake, lakini, hautabarikiwa.

Tazama sura Nakili




Methali 20:21
13 Marejeleo ya Msalaba  

Mtu mwema huwaachia wana wa wanawe urithi; Na mali ya mkosaji huwa akiba kwa mwenye haki.


Amlaaniye babaye au mamaye, Taa yake itazimika katika giza kuu.


Usiseme, Mimi nitalipa mabaya; Mngojee BWANA, naye atakuokoa.


Kupata akiba ya mali kwa ulimi wa uongo Ni moshi upeperushwao; ni kutafuta mauti.


Usijitaabishe ili kupata utajiri; Acha kuzitegemea akili zako mwenyewe.


Mtu mwaminifu atakuwa na baraka tele; Lakini afanyaye haraka kuwa tajiri hakosi ataadhibiwa.


Mwenye husuda afanya haraka kuwa tajiri; Wala haufikiri uhitaji utakaomjia.


Yeye azidishaye mali yake kwa riba na faida, Humkusanyia mtu awahurumiaye maskini.


Je! Hawa wote hawatapiga mfano juu yake, na mithali ya kusimanga juu yake, wakisema, Ole wake yeye aongezaye kisicho mali yake! Hata lini? Na ole wake yeye ajitwikaye mzigo wa rehani!


Nitaituma itokee, asema BWANA wa majeshi, nayo itaingia katika nyumba ya mwizi, na katika nyumba ya yeyote aapaye kwa uongo kwa jina langu; nayo itakaa katika nyumba yake, na kuiteketeza, pamoja na boriti zake na mawe yake.


Kama hamtaki kusikia, na kama hamtaki kuitia moyoni, ili kulitukuza jina langu, asema BWANA wa majeshi, basi nitawaleteeni laana, nami nitazilaani baraka zenu; naam, nimekwisha kuzilaani, kwa sababu hamyatii haya moyoni.


Lakini hao watakao kuwa na mali huanguka katika majaribu na mtego, na tamaa nyingi zisizo na maana, zenye kudhuru, zinazowaingiza watu katika upotevu na uharibifu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo