Methali 20:20 - Swahili Revised Union Version20 Amlaaniye babaye au mamaye, Taa yake itazimika katika giza kuu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Anayemlaani baba yake au mama yake, mwanga wa uhai wake utazimwa kama taa gizani. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Anayemlaani baba yake au mama yake, mwanga wa uhai wake utazimwa kama taa gizani. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Anayemlaani baba yake au mama yake, mwanga wa uhai wake utazimwa kama taa gizani. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Ikiwa mtu atamlaani baba yake au mama yake, taa yake itazimwa katika giza nene. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Ikiwa mtu atamlaani baba yake au mama yake, taa yake itazimwa katika giza nene. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI20 Amlaaniye babaye au mamaye, Taa yake itazimika katika giza kuu. Tazama sura |