Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 20:19 - Swahili Revised Union Version

19 Mwenye udaku hufunua siri; Basi, usishirikiane naye afunuaye midomo yake sana.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Mpiga domo hafichi siri, kwa hiyo mwepe mtu wa kuropoka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Mpiga domo hafichi siri, kwa hiyo mwepe mtu wa kuropoka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Mpiga domo hafichi siri, kwa hiyo mwepe mtu wa kuropoka.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Maneno ya kusengenya husababisha kutokuaminika, kwa hiyo mwepuke mtu anayezungumza kupita kiasi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Maneno ya kusengenya husababisha kutokuaminika, kwa hiyo mwepuke mtu anayezungumza kupita kiasi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

19 Mwenye udaku hufunua siri; Basi, usishirikiane naye afunuaye midomo yake sana.

Tazama sura Nakili




Methali 20:19
9 Marejeleo ya Msalaba  

Amsingiziaye jirani yake kwa siri, Huyo nitamwangamiza. Mwenye macho ya kiburi na moyo wa majivuno, Huyo sitamvumilia.


Mwenye udaku hupitapita akifunua siri; Bali mwenye roho ya uaminifu husitiri mambo.


Yeye alindaye kinywa chake huilinda nafsi yake; Bali afunuaye midomo yake atapata uharibifu.


Mtu mkali humshawishi mwenzake; Humwongoza katika njia isiyo njema.


Maneno ya mchongezi ni kama vitoweo; Nayo hushukia pande za ndani za tumbo.


Mwanangu, mche BWANA, na mfalme; Wala usishirikiane na wenye kigeugeu;


Usiende huku na huko katikati ya watu wako, kama mchongezi; wala usijifaidi kwa damu ya jirani yako; mimi ndimi BWANA.


Kwa sababu walio hivyo hawamtumikii Bwana wetu Kristo, bali matumbo yao wenyewe; na kwa maneno laini na ya kujipendekeza waidanganya mioyo ya watu wanyofu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo