Methali 20:18 - Swahili Revised Union Version18 Kila kusudi huthibitika kwa kushauriana; Na kwa shauri la akili fanya vita. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Mipango mizuri hufanyika kwa kushauriana; ukitaka kuanza vita lazima kutafakari kwanza. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Mipango mizuri hufanyika kwa kushauriana; ukitaka kuanza vita lazima kutafakari kwanza. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Mipango mizuri hufanyika kwa kushauriana; ukitaka kuanza vita lazima kutafakari kwanza. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Fanya mipango kwa kutafuta mashauri, ukipigana vita, tafuta maelekezo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Fanya mipango kwa kutafuta mashauri, ukipigana vita, tafuta maelekezo. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI18 Kila kusudi huthibitika kwa kushauriana; Na kwa shauri la akili fanya vita. Tazama sura |