Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 20:18 - Swahili Revised Union Version

18 Kila kusudi huthibitika kwa kushauriana; Na kwa shauri la akili fanya vita.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Mipango mizuri hufanyika kwa kushauriana; ukitaka kuanza vita lazima kutafakari kwanza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Mipango mizuri hufanyika kwa kushauriana; ukitaka kuanza vita lazima kutafakari kwanza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Mipango mizuri hufanyika kwa kushauriana; ukitaka kuanza vita lazima kutafakari kwanza.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Fanya mipango kwa kutafuta mashauri, ukipigana vita, tafuta maelekezo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Fanya mipango kwa kutafuta mashauri, ukipigana vita, tafuta maelekezo.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

18 Kila kusudi huthibitika kwa kushauriana; Na kwa shauri la akili fanya vita.

Tazama sura Nakili




Methali 20:18
16 Marejeleo ya Msalaba  

Haya basi, nikupe shauri, tafadhali, upate kuiokoa roho yako, na roho ya mwanao Sulemani.


Wewe wasema, lakini ni maneno yasiyo na maana, kwamba, Lipo shauri na zipo nguvu kwa vita hivi. Basi, unamtumaini nani hata ukaniasi mimi?


Pasipo mashauri taifa huanguka; Bali kwa wingi wa washauri huja wokovu.


Pasipo ushauri mipango vuhunjika; Bali kwa wingi wa washauri huthibitika.


Maana kwa mashauri ya akili utafanya vita; Na kwa wingi wa washauri huja wokovu.


Usitoke nje kwa haraka ili kuyashindania; Usije ukakosa kujua la kutenda hatimaye, Mwenzako atakapokuwa amekuaibisha.


Au kuna mfalme gani, akitaka kwenda kupigana na mfalme mwingine, haketi kwanza na kufanya shauri, kwamba yeye pamoja na watu elfu kumi ataweza kukutana na yule anayekuja juu yake na watu elfu ishirini?


Basi ikawa, wote waliolishuhudia jambo hilo wakasema, Jambo kama hili halijatendeka wala kuonekana tangu siku hiyo wana wa Israeli walipokwea kutoka katika nchi ya Misri hadi leo; haya, lifikirini, fanyeni shauri, na mliseme.


Basi wana wa Israeli wakainuka, wakakwea kwenda Betheli, nao wakataka shauri kwa Mungu; wakasema, Ni nani atakayekwea kwenda vitani kwanza kwa ajili yetu juu ya wana wa Benyamini? BWANA akawaambia, Yuda atakwea kwanza.


Wana wa Israeli wakakwea juu na kulia mbele za BWANA hadi jioni; wakamwuliza BWANA, wakisema, Je! Niende nikaribie tena kupiga vita juu ya wana wa Benyamini ndugu yangu? BWANA akasema, Haya, kweeni, mwende kupigana naye.


Angalieni, ninyi wana wa Israeli nyote, sasa toeni maneno na mashauri yenu.


Laiti watu hawa wangekuwa chini ya mkono wangu! Hapo basi mimi ningemuondoa huyo Abimeleki. Kisha akamwambia Abimeleki, Haya, ongeza jeshi lako, utokeze.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo