Methali 21:6 - Swahili Revised Union Version6 Kupata akiba ya mali kwa ulimi wa uongo Ni moshi upeperushwao; ni kutafuta mauti. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Mali ipatikanayo kwa udanganyifu, ni mvuke upitao na mtego wa kifo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Mali ipatikanayo kwa udanganyifu, ni mvuke upitao na mtego wa kifo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Mali ipatikanayo kwa udanganyifu, ni mvuke upitao na mtego wa kifo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Mali iliyopatikana kwa ulimi wa uongo ni mvuke upitao upesi na mtego wa kufisha. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Mali iliyopatikana kwa ulimi wa uongo ni mvuke upitao upesi na mtego wa kufisha. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI6 Kupata akiba ya mali kwa ulimi wa uongo Ni moshi upeperushwao; ni kutafuta mauti. Tazama sura |