Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 19:7 - Swahili Revised Union Version

Ndugu zote wa maskini humchukia; Jinsi gani rafiki zake huzidi kujitenga naye! Huwafuata kwa maneno, lakini wametoweka.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Maskini huchukiwa na ndugu zake; marafiki zake ndio zaidi: Humkimbia! Hata awabembeleze namna gani hatawapata.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Maskini huchukiwa na ndugu zake; marafiki zake ndio zaidi: Humkimbia! Hata awabembeleze namna gani hatawapata.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Maskini huchukiwa na ndugu zake; marafiki zake ndio zaidi: humkimbia! Hata awabembeleze namna gani hatawapata.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mtu maskini huepukwa na ndugu zake wote: Je, rafiki zake watamkwepa kiasi gani! Ingawa huwafuata kwa kuwasihi, hawapatikani popote.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mtu maskini huepukwa na ndugu zake wote: Je, marafiki zake watamkwepa kiasi gani! Ingawa huwafuata kwa kuwasihi, hawapatikani popote.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ndugu zote wa maskini humchukia; Jinsi gani rafiki zake huzidi kujitenga naye! Huwafuata kwa maneno, lakini wametoweka.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 19:7
15 Marejeleo ya Msalaba  

Wanipendao na rafiki zangu wanasimama mbali na pigo langu; Na jamaa zangu wanasimama mbali.


Nao wanaoutafuta uhai wangu hutega mitego; Nao wanaotaka kunidhuru hunena mabaya; Na kufikiri hila mchana kutwa.


Mpenzi na rafiki umewatenga nami, Nao wanijuao wamo gizani.


Wanijuao umewatenga nami; Umenifanya kuwa chukizo kwao; Nimefungwa wala siwezi kutoka.


Mali ya tajiri ndio ngome yake; Ufukara wa maskini ndio umwangamizao.


Maskini huchukiwa hata na jirani yake; Bali tajiri ana marafiki wengi.


Maskini hutumia maombi; Bali tajiri hujibu kwa ukali.


Utajiri huongeza marafiki wengi; Bali maskini hutengwa na rafiki yake.


Azibaye masikio yake asisikie kilio cha maskini, Yeye naye atalia, lakini hatasikiwa.


Usimwache rafiki yako mwenyewe, wala rafiki ya baba yako, Wala usiende nyumbani mwa ndugu yako siku ya msiba wako. Afadhali jirani aliye karibu kuliko ndugu aliye mbali.


Bali ninyi mmemvunjia heshima maskini. Je! Matajiri hawawaonei ninyi na kuwavuta mbele ya viti vya hukumu?