Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 18:3 - Swahili Revised Union Version

Ajapo asiye haki, huja dharau pia; Na pamoja na aibu huja lawama.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ajapo mwovu huja pia dharau; pamoja na aibu huja fedheha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ajapo mwovu huja pia dharau; pamoja na aibu huja fedheha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ajapo mwovu huja pia dharau; pamoja na aibu huja fedheha.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Uovu unapokuja, dharau huja pia; pamoja na aibu huja lawama.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakati uovu unapokuja, dharau huja pia, pamoja na aibu huja lawama.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ajapo asiye haki, huja dharau pia; Na pamoja na aibu huja lawama.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 18:3
14 Marejeleo ya Msalaba  

Sikia, Ee Mungu wetu; maana tunadharauliwa; ukawarudishie mashutumu yao juu ya vichwa vyao, ukawatoe watekwe katika nchi ya uhamisho;


Laumu imenivunja moyo, Nami ninaugua sana. Nikangoja aje wa kunihurumia, wala hakuna; Na wa kunifariji, wala sikumwona mtu.


Maana mvuto wa nyumba yako umenila, Na laumu zao wanaokulaumu zimenipata.


Kijapo kiburi ndipo ijapo aibu; Bali hekima hukaa na wanyenyekevu.


Mwenye haki huchukia kusema uongo; Bali mtu mbaya huwa karaha, hupatwa na aibu.


Mpumbavu hapendezwi na ufahamu; Ila moyo wake udhihirike tu.


Maneno ya kinywa cha mtu ni kama maji ya vilindi; Kijito kibubujikacho; chemchemi ya hekima.


Mtupe nje mwenye dharau, na ugomvi utatoka; Naam, fitina na fedheha zitakoma.


Waovu wakiongezeka, maasi huongezeka; Bali wenye haki watayatazama maanguko yao.


Mkilaumiwa kwa ajili ya jina la Kristo ni heri yenu; kwa kuwa Roho wa utukufu na wa Mungu anawakalia.


mambo ambayo wao huona kuwa ni ajabu ya ninyi kutokwenda mbio pamoja nao katika ufisadi ule ule usio na kiasi, wakiwatukana.


Basi hasira yake Sauli ikawaka juu ya Yonathani, akamwambia, Wewe, mwana wa mke mkaidi, asi, je! Mimi sijui ya kuwa umemchagua huyo mwana wa Yese, kwa aibu yako mwenyewe, na kwa aibu ya uchi wa mama yako.