Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 16:12 - Swahili Revised Union Version

Wafalme wakitenda yasiyo haki ni chukizo; Maana kiti cha enzi huthibitika kwa haki.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ni chukizo kubwa wafalme kutenda uovu, maana msingi wa mamlaka yao ni haki.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ni chukizo kubwa wafalme kutenda uovu, maana msingi wa mamlaka yao ni haki.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ni chukizo kubwa wafalme kutenda uovu, maana msingi wa mamlaka yao ni haki.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wafalme huchukia sana kutenda maovu, kwa maana kiti cha ufalme hufanywa imara kupitia haki.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wafalme huchukia sana kutenda maovu, kwa maana kiti cha ufalme hufanywa imara kwa njia ya haki.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wafalme wakitenda yasiyo haki ni chukizo; Maana kiti cha enzi huthibitika kwa haki.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 16:12
11 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa hiyo BWANA akauthibitisha ufalme mkononi mwake; Yehoshafati akaletewa zawadi na watu wote wa Yuda; basi akawa na mali na heshima tele.


Mfalme mkuu upendaye hukumu kwa haki; Umeiimarisha haki; Umefanya hukumu na haki katika Israeli.


Midomo ya haki ni furaha ya wafalme; Nao humpenda yeye asemaye yaliyo sawa.


Kila kusudi huthibitika kwa kushauriana; Na kwa shauri la akili fanya vita.


Mwondoe asiye haki mbele ya mfalme, Na kiti chake cha enzi kitathibitika katika haki.


Yeye aligeuzaye sikio lake asiisikie sheria, Hata sala yake ni chukizo.


Mfalme awahukumuye maskini kwa uaminifu; Kiti chake cha enzi kitathibitika milele.


Mfalme huithibitisha nchi kwa hukumu; Bali yeye apokeaye rushwa huipindua.


Na yule asiyejua, naye amefanya yastahiliyo mapigo, atapigwa kidogo. Na kila aliyepewa vingi, kwake huyo vitatakwa vingi; naye waliyemwekea amana vitu vingi, kwake huyo watataka na zaidi.


Kwa kuwa wote wayatendao mambo kama haya, wote watendao yasiyo haki, ni machukizo kwa BWANA, Mungu wako.


Kisha nikaziona mbingu zimefunuka, na tazama, farasi mweupe, na yeye aliyempanda, aitwaye Mwaminifu na Wa kweli, naye kwa haki ahukumu na kufanya vita.