Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 25:5 - Swahili Revised Union Version

5 Mwondoe asiye haki mbele ya mfalme, Na kiti chake cha enzi kitathibitika katika haki.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Waondoe waovu mbele ya mfalme, na utawala wake utaimarika katika haki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Waondoe waovu mbele ya mfalme, na utawala wake utaimarika katika haki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Waondoe waovu mbele ya mfalme, na utawala wake utaimarika katika haki.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Ondoa waovu mbele ya mfalme, nacho kiti chake cha ufalme kitaimarishwa kupitia kwa haki.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Ondoa waovu mbele ya mfalme, nacho kiti chake cha enzi kitaimarishwa kwa njia ya haki.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

5 Mwondoe asiye haki mbele ya mfalme, Na kiti chake cha enzi kitathibitika katika haki.

Tazama sura Nakili




Methali 25:5
13 Marejeleo ya Msalaba  

Hivyo damu yao itarudi kichwani pa Yoabu, na kichwani pa wazao wake hata milele; ila kwa Daudi, na kwa wazao wake, na kwa nyumba yake, na kwa kiti chake cha enzi, kutakuwa na amani hata milele kutoka kwa BWANA.


Ila mfalme Sulemani atakuwa amebarikiwa, na kiti cha enzi cha Daudi kitathibitika mbele za BWANA hata milele.


Basi mfalme akamwamuru Benaya, mwana wa Yehoyada; naye akatoka, akampiga, hata akafa. Nao ufalme ukawa imara mkononi mwa Sulemani.


Basi wakamtundika Hamani juu ya mti aliomwekea tayari Mordekai. Ghadhabu ya mfalme ikatulia.


Wafalme wakitenda yasiyo haki ni chukizo; Maana kiti cha enzi huthibitika kwa haki.


Fadhili na uaminifu humhifadhi mfalme, Na kiti chake cha enzi huthibitishwa kwa fadhili.


Mfalme aketiye katika kiti cha hukumu, Huyapepeta mabaya yote kwa macho yake.


Usijitukuze mbele ya uso wa mfalme; Wala usisimame mahali pa watu wakuu;


Mfalme awahukumuye maskini kwa uaminifu; Kiti chake cha enzi kitathibitika milele.


Na kiti cha enzi kitafanywa imara kwa rehema; na mmoja ataketi juu yake katika kweli, katika hema ya Daudi; akifanya hukumu, akitaka sana yaliyo haki, mwepesi wa kutenda haki.


Mamlaka ya enzi yake yatakuzwa daima, Na kutakuwa na amani isiyo na mwisho, Katika kiti cha enzi cha Daudi na ufalme wake; Kuuthibitisha na kuutegemeza Kwa hukumu na kwa haki, Tangu sasa na hata milele. Wivu wa BWANA wa majeshi ndio utakaotenda hayo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo