Methali 25:5 - Swahili Revised Union Version5 Mwondoe asiye haki mbele ya mfalme, Na kiti chake cha enzi kitathibitika katika haki. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Waondoe waovu mbele ya mfalme, na utawala wake utaimarika katika haki. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Waondoe waovu mbele ya mfalme, na utawala wake utaimarika katika haki. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Waondoe waovu mbele ya mfalme, na utawala wake utaimarika katika haki. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Ondoa waovu mbele ya mfalme, nacho kiti chake cha ufalme kitaimarishwa kupitia kwa haki. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Ondoa waovu mbele ya mfalme, nacho kiti chake cha enzi kitaimarishwa kwa njia ya haki. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI5 Mwondoe asiye haki mbele ya mfalme, Na kiti chake cha enzi kitathibitika katika haki. Tazama sura |