Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 28:9 - Swahili Revised Union Version

9 Yeye aligeuzaye sikio lake asiisikie sheria, Hata sala yake ni chukizo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Anayekataa kuisikia sheria, huyo hata sala yake ni chukizo kwa Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Anayekataa kuisikia sheria, huyo hata sala yake ni chukizo kwa Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Anayekataa kuisikia sheria, huyo hata sala yake ni chukizo kwa Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Mtu yeyote akikataa kusikia sheria, hata maombi yake ni chukizo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Kama mtu yeyote akikataa kusikia sheria, hata maombi yake ni chukizo.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

9 Yeye aligeuzaye sikio lake asiisikie sheria, Hata sala yake ni chukizo.

Tazama sura Nakili




Methali 28:9
15 Marejeleo ya Msalaba  

Katika kuhukumiwa ataonekana hana haki, Na sala yake itadhaniwa kuwa ni dhambi.


Kama ningaliwaza maovu moyoni mwangu, Bwana asingesikia.


Je! Watawala waovu wanaweza kushirikiana nawe, Wale watungao madhara kwa njia ya sheria?


BWANA hataiacha nafsi ya mwenye haki ife na njaa; Bali tamaa ya mtu mwovu huisukumia mbali.


Sadaka ya mtu mbaya ni chukizo kwa BWANA; Bali maombi ya mtu mnyofu ni furaha yake.


Azibaye masikio yake asisikie kilio cha maskini, Yeye naye atalia, lakini hatasikiwa.


Sadaka ya wasio haki ni chukizo; Si zaidi sana ailetapo mwenye nia mbaya!


Tazameni, ninyi si kitu, tena kazi yenu si kitu; awachaguaye ninyi ni chukizo.


Wafungapo, mimi sitasikia kilio chao; na watoapo sadaka za kuteketezwa na sadaka ya unga, sitazitakabali; bali nitawaangamiza kwa upanga, na kwa njaa, na kwa tauni.


Tunajua ya kuwa Mungu hawasikii wenye dhambi; bali mtu akiwa ni mcha Mungu, na kuyafanya mapenzi yake, humsikia huyo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo