Methali 28:8 - Swahili Revised Union Version8 Yeye azidishaye mali yake kwa riba na faida, Humkusanyia mtu awahurumiaye maskini. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Aongezaye mali yake kwa riba na kutoza faida anamkusanyia mwingine mwenye kuwahurumia maskini. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Aongezaye mali yake kwa riba na kutoza faida anamkusanyia mwingine mwenye kuwahurumia maskini. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Aongezaye mali yake kwa riba na kutoza faida anamkusanyia mwingine mwenye kuwahurumia maskini. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Yeye aongezaye utajiri wake kwa riba kubwa mno hukusanya kwa ajili ya mwingine, ambaye atawahurumia maskini. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Yeye aongezaye utajiri wake kwa riba kubwa mno hukusanya kwa ajili ya mwingine, ambaye atawahurumia maskini. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI8 Yeye azidishaye mali yake kwa riba na faida, Humkusanyia mtu awahurumiaye maskini. Tazama sura |