Methali 28:7 - Swahili Revised Union Version7 Yeye aishikaye sheria ni mwana mwenye hekima; Bali aliye rafiki wa walafi humwaibisha babaye. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Mtoto ashikaye sheria ni mwenye hekima, lakini rafiki wa walafi humwaibisha baba yake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Mtoto ashikaye sheria ni mwenye hekima, lakini rafiki wa walafi humwaibisha baba yake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Mtoto ashikaye sheria ni mwenye hekima, lakini rafiki wa walafi humwaibisha baba yake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Yeye anayetii sheria ni mwana mwenye ufahamu, bali rafiki wa walafi humwaibisha baba yake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Yeye ashikaye sheria ni mwana mwenye ufahamu, bali rafiki wa walafi humwaibisha baba yake. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI7 Yeye aishikaye sheria ni mwana mwenye hekima; Bali aliye rafiki wa walafi humwaibisha babaye. Tazama sura |