Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 29:14 - Swahili Revised Union Version

14 Mfalme awahukumuye maskini kwa uaminifu; Kiti chake cha enzi kitathibitika milele.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Mfalme anayewaamua maskini kwa haki, atauona utawala wake umeimarika milele.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Mfalme anayewaamua maskini kwa haki, atauona utawala wake umeimarika milele.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Mfalme anayewaamua maskini kwa haki, atauona utawala wake umeimarika milele.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Kama mfalme akiwaamua maskini kwa haki, kiti chake kitakuwa thabiti daima.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Kama mfalme akiwaamua maskini kwa haki, kiti chake cha enzi kitakuwa thabiti siku zote.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

14 Mfalme awahukumuye maskini kwa uaminifu; Kiti chake cha enzi kitathibitika milele.

Tazama sura Nakili




Methali 29:14
18 Marejeleo ya Msalaba  

Maana nimesema, Fadhili zitajengwa milele; Katika mbingu utauthibitisha uaminifu wako.


Wafalme wakitenda yasiyo haki ni chukizo; Maana kiti cha enzi huthibitika kwa haki.


Fadhili na uaminifu humhifadhi mfalme, Na kiti chake cha enzi huthibitishwa kwa fadhili.


Mwondoe asiye haki mbele ya mfalme, Na kiti chake cha enzi kitathibitika katika haki.


Mkuu aliyepungukiwa na akili huwaonea watu sana; Bali achukiaye kutamani ataongeza siku zake.


Mfalme huithibitisha nchi kwa hukumu; Bali yeye apokeaye rushwa huipindua.


jifunzeni kutenda mema; takeni hukumu na haki; wasaidieni walioonewa; mpatieni yatima haki yake; mteteeni mjane.


bali kwa haki atawahukumu maskini, naye atawaonya wanyenyekevu wa dunia kwa adili; naye ataipiga dunia kwa fimbo ya kinywa chake, na kwa pumzi ya midomo yake atawaua wabaya.


Alihukumu maneno ya maskini na mhitaji; hapo ndipo alipofanikiwa. Je! Huku siko kunijua, asema BWANA?


Wamenenepa sana, wang'aa; naam, wamepita kiasi kwa matendo maovu; hawatetei madai ya yatima, ili wapate kufanikiwa; wala hawaamui haki ya mhitaji.


Kwa sababu hiyo, Ee mfalme, shauri langu lipate kibali kwako; uache dhambi zako kwa kutenda haki, uache maovu yako kwa kuwahurumia maskini; huenda ukapata kuzidishiwa siku zako za fanaka.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo