Methali 29:13 - Swahili Revised Union Version13 Maskini na mdhalimu hukutana pamoja; BWANA huwatia nuru macho yao wote wawili. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Maskini na mkandamizaji wanafanana kwa kitu kimoja: Wote wawili wamepewa macho na Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Maskini na mkandamizaji wanafanana kwa kitu kimoja: Wote wawili wamepewa macho na Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Maskini na mkandamizaji wanafanana kwa kitu kimoja: wote wawili wamepewa macho na Mwenyezi-Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Mtu maskini na mtu mdhalimu wanafanana kwa jambo hili: Mwenyezi Mungu hutia nuru macho yao wote wawili. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Mtu maskini na mtu anayeonea wanafanana kwa jambo hili: bwana hutia nuru macho yao wote wawili. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI13 Maskini na mdhalimu hukutana pamoja; BWANA huwatia nuru macho yao wote wawili. Tazama sura |