Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 16:11 - Swahili Revised Union Version

Mizani ya haki na vitanga vyake ni vya BWANA; Mawe yote ya mfukoni ni kazi yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwenyezi-Mungu hutaka kipimo na mizani halali; mawe yote mfukoni ya kupimia ni kazi yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwenyezi-Mungu hutaka kipimo na mizani halali; mawe yote mfukoni ya kupimia ni kazi yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwenyezi-Mungu hutaka kipimo na mizani halali; mawe yote mfukoni ya kupimia ni kazi yake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Vipimo na mizani za halali hutoka kwa Mwenyezi Mungu; mawe yote ya kupimia yaliyo katika mfuko ameyafanya yeye.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Vipimo na mizani za halali hutoka kwa bwana; mawe yote ya kupimia yaliyo katika mfuko ameyafanya yeye.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mizani ya haki na vitanga vyake ni vya BWANA; Mawe yote ya mfukoni ni kazi yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 16:11
9 Marejeleo ya Msalaba  

Mizani ya udanganyifu ni chukizo kwa BWANA; Bali vipimo vilivyo sawasawa humpendeza.


Vipimo mbalimbali, na pishi mbalimbali, Vyote viwili ni chukizo kwa BWANA.


Vipimo mbalimbali ni chukizo kwa BWANA; Tena mizani ya hila si njema.


Mtakuwa na mizani ya haki, na efa ya haki, na bathi ya haki.


Ni mfanya biashara, aliye na mizani ya udanganyifu mkononi mwake; anapenda kudhulumu.


mkisema, Mwezi mpya utaondoka lini, tupate kuuza nafaka? Na sabato nayo, tupate kuandaa ngano? Mkiipunguza efa na kuiongeza shekeli, mkidanganya watu kwa mizani ya udanganyifu;


Je! Naweza kuwa safi nami nina mizani ya udhalimu, na mfuko wa mawe ya kupimia ya udanganyifu?