Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 14:25 - Swahili Revised Union Version

Shahidi wa kweli huponya nafsi za watu; Bali atoaye uongo hudanganya.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Shahidi wa kweli huokoa maisha, lakini msema uongo ni msaliti.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Shahidi wa kweli huokoa maisha, lakini msema uongo ni msaliti.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Shahidi wa kweli huokoa maisha, lakini msema uongo ni msaliti.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Shahidi wa kweli huokoa maisha, bali shahidi wa uongo ni mdanganyifu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Shahidi wa kweli huokoa maisha, bali shahidi wa uongo ni mdanganyifu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Shahidi wa kweli huponya nafsi za watu; Bali atoaye uongo hudanganya.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 14:25
9 Marejeleo ya Msalaba  

Mazao ya mwenye haki ni mti wa uzima; Na mwenye hekima huvuta roho za watu.


Atamkaye maneno ya kweli hufunua haki; Bali shahidi wa uongo hutamka hila.


Shahidi mwaminifu hatasema uongo; Bali shahidi wa uongo, pumzi zake ni uongo.


Shahidi wa uongo hakosi ataadhibiwa; Wala asemaye uongo hataokoka.


nikiwashuhudia Wayahudi na Wagiriki wamtubie Mungu, na kumwamini Bwana wetu Yesu Kristo.


Mkijua kwanza neno hili ya kwamba katika siku za mwisho watakuja na dhihaka zao watu wenye kudhihaki, wafuatao tamaa zao wenyewe,