Methali 12:17 - Swahili Revised Union Version17 Atamkaye maneno ya kweli hufunua haki; Bali shahidi wa uongo hutamka hila. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Msema kweli hutoa ushahidi wa kweli, lakini shahidi wa uongo hutamka udanganyifu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Msema kweli hutoa ushahidi wa kweli, lakini shahidi wa uongo hutamka udanganyifu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Msema kweli hutoa ushahidi wa kweli, lakini shahidi wa uongo hutamka udanganyifu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Shahidi wa kweli hutoa ushuhuda wa kuaminika, bali shahidi wa uongo husema uongo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 Shahidi wa kweli hutoa ushuhuda wa kuaminika, bali shahidi wa uongo husema uongo. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI17 Atamkaye maneno ya kweli hufunua haki; Bali shahidi wa uongo hutamka hila. Tazama sura |