Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 12:17 - Swahili Revised Union Version

17 Atamkaye maneno ya kweli hufunua haki; Bali shahidi wa uongo hutamka hila.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Msema kweli hutoa ushahidi wa kweli, lakini shahidi wa uongo hutamka udanganyifu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Msema kweli hutoa ushahidi wa kweli, lakini shahidi wa uongo hutamka udanganyifu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Msema kweli hutoa ushahidi wa kweli, lakini shahidi wa uongo hutamka udanganyifu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Shahidi wa kweli hutoa ushuhuda wa kuaminika, bali shahidi wa uongo husema uongo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Shahidi wa kweli hutoa ushuhuda wa kuaminika, bali shahidi wa uongo husema uongo.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

17 Atamkaye maneno ya kweli hufunua haki; Bali shahidi wa uongo hutamka hila.

Tazama sura Nakili




Methali 12:17
15 Marejeleo ya Msalaba  

Ghadhabu ya mpumbavu hujulikana mara; Bali mtu mwerevu husitiri aibu.


Kuna anenaye bila kufikiri, kama kuchoma kwa upanga; Bali ulimi wa mwenye haki ni afya.


Shahidi wa kweli huponya nafsi za watu; Bali atoaye uongo hudanganya.


Shahidi mwaminifu hatasema uongo; Bali shahidi wa uongo, pumzi zake ni uongo.


Shahidi asiyefaa kitu hudhihaki hukumu, Na vinywa vya wasio haki humeza uovu.


Shahidi wa uongo hakosi ataadhibiwa; Wala asemaye uongo hataokoka.


Shahidi wa uongo atapotea; Bali mtu asikiaye atasema maneno yadumuyo.


Usimshuhudie jirani yako pasipo sababu, Wala usidanganye kwa midomo yako.


Shahidi wa uongo asemaye uongo; Naye apandaye mbegu za fitina kati ya ndugu.


Haya ndiyo mtakayoyatenda; kila mtu na aseme ukweli na jirani yake; katika malango yenu toeni hukumu za kweli na ziletazo amani;


Kwa maana moyoni hutoka mawazo mabaya, uuaji, uzinzi, uasherati; wizi, ushuhuda wa uongo, na matukano;


Basi wakuu wa makuhani na baraza yote wakatafuta ushuhuda wa uongo juu ya Yesu, wapate kumwua;


Wakasimamisha mashahidi wa uongo waliosema, Mtu huyu haachi kusema maneno ya kufuru juu ya mahali hapa patakatifu na juu ya torati;


Nanyi muwe na dhamiri njema, ili katika neno lile mnalosingiziwa, watahayarishwe wale wautukanao mwenendo wenu mwema katika Kristo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo