Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 11:8 - Swahili Revised Union Version

Mwenye haki huokolewa katika dhiki, Na mtu mwovu ataiingia badala yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mtu mnyofu huokolewa katika shida, na mwovu huingia humo badala yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mtu mnyofu huokolewa katika shida, na mwovu huingia humo badala yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mtu mnyofu huokolewa katika shida, na mwovu huingia humo badala yake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mtu mwenye haki huokolewa kutoka taabu, naye mtu mwovu huingia humo badala yake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mtu mwenye haki huokolewa kutoka taabu, naye mtu mwovu huingia humo badala yake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mwenye haki huokolewa katika dhiki, Na mtu mwovu ataiingia badala yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 11:8
9 Marejeleo ya Msalaba  

Na wokovu wa wenye haki una BWANA; Yeye ni ngome yao wakati wa taabu.


Mtu mwovu atakapokufa, taraja lake linapotea; Na matumaini ya uovu huangamia.


Asiyemcha Mungu humpoteza jirani yake kwa kinywa chake; Bali wenye haki watapona kwa maarifa.


Katika kosa la midomo kuna mtego kwa mbaya; Bali mwenye haki atatoka katika taabu.


Mtu asiye haki ni fidia ya wenye haki; Naye afanyaye hila ni badala ya watu wa adili.


Ndipo mfalme Dario akawaandikia watu wa kabila zote, na taifa zote, na lugha zote, waliokaa juu ya uso wa dunia; Amani na iongezeke kwenu.