Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 11:18 - Swahili Revised Union Version

Mtu mwovu hupata mshahara wa udanganyifu; Apandaye haki ana thawabu ya hakika.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Faida anayopata mwovu ni ya uongo, lakini atendaye mema hakika atapata faida ya kweli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Faida anayopata mwovu ni ya uongo, lakini atendaye mema hakika atapata faida ya kweli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Faida anayopata mwovu ni ya uongo, lakini atendaye mema hakika atapata faida ya kweli.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mtu mwovu hupata ujira wa udanganyifu, bali yeye apandaye haki huvuna tuzo ya uhakika.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mtu mwovu hupata ujira wa udanganyifu, bali yeye apandaye haki huvuna tuzo ya uhakika.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mtu mwovu hupata mshahara wa udanganyifu; Apandaye haki ana thawabu ya hakika.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 11:18
15 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Mungu akawatendea mema wale wakunga; na hao watu wakaongezeka sana, wakaendelea na kuzidi kuwa na nguvu nyingi.


Na hao hujiotea damu yao wenyewe, Hujinyemelea nafsi zao wenyewe.


Kazi yake mwenye haki huuelekea uzima; Mazao ya wabaya huielekea dhambi.


Yeye apandaye uovu atavuna msiba, Na fimbo ya ghadhabu yake itakoma.


Maovu yake yeye yatampata mdhalimu, Naye atashikwa kwa kamba za dhambi zake.


Mwenye kuchimba shimo atatumbukia ndani yake; Na yeye abomoaye boma, nyoka atamwuma.


Moyo wao umegawanyika; sasa wataonekana kuwa na hatia; yeye atazipiga madhabahu zao, ataziharibu nguzo zao.


Naye avunaye hupokea mshahara, na kukusanya matunda kwa uzima wa milele, ili yeye apandaye na yeye avunaye wapate kufurahi pamoja.


mvue mwenendo wenu wa kwanza, utu wa zamani unaoharibika, kwa kuzifuata tamaa zenye kudanganya;


Na tunda la haki hupandwa katika amani na wale wafanyao amani.