Methali 10:16 - Swahili Revised Union Version16 Kazi yake mwenye haki huuelekea uzima; Mazao ya wabaya huielekea dhambi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Tuzo la mtu mwema ni uhai, lakini mwovu huishia katika dhambi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Tuzo la mtu mwema ni uhai, lakini mwovu huishia katika dhambi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Tuzo la mtu mwema ni uhai, lakini mwovu huishia katika dhambi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Ujira wa wenye haki huwaletea uzima, lakini mapato ya waovu ni dhambi na mauti. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Ujira wa wenye haki huwaletea uzima, lakini mapato ya waovu huwaletea adhabu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI16 Kazi yake mwenye haki huuelekea uzima; Mazao ya wabaya huielekea dhambi. Tazama sura |