Methali 11:18 - Swahili Revised Union Version18 Mtu mwovu hupata mshahara wa udanganyifu; Apandaye haki ana thawabu ya hakika. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Faida anayopata mwovu ni ya uongo, lakini atendaye mema hakika atapata faida ya kweli. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Faida anayopata mwovu ni ya uongo, lakini atendaye mema hakika atapata faida ya kweli. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Faida anayopata mwovu ni ya uongo, lakini atendaye mema hakika atapata faida ya kweli. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Mtu mwovu hupata ujira wa udanganyifu, bali yeye apandaye haki huvuna tuzo ya uhakika. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Mtu mwovu hupata ujira wa udanganyifu, bali yeye apandaye haki huvuna tuzo ya uhakika. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI18 Mtu mwovu hupata mshahara wa udanganyifu; Apandaye haki ana thawabu ya hakika. Tazama sura |