Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 11:17 - Swahili Revised Union Version

17 Mwenye rehema huitendea mema nafsi yake; Aliye mkali hujisumbua mwili wake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Mtu mkarimu hufaidika yeye mwenyewe, lakini mtu mkatili hujiumiza mwenyewe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Mtu mkarimu hufaidika yeye mwenyewe, lakini mtu mkatili hujiumiza mwenyewe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Mtu mkarimu hufaidika yeye mwenyewe, lakini mtu mkatili hujiumiza mwenyewe.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Mwenye huruma hujinufaisha mwenyewe, bali mkatili hujiletea taabu mwenyewe.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Mwenye huruma hujinufaisha mwenyewe, bali mkatili hujiletea taabu mwenyewe.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

17 Mwenye rehema huitendea mema nafsi yake; Aliye mkali hujisumbua mwili wake.

Tazama sura Nakili




Methali 11:17
19 Marejeleo ya Msalaba  

Atanyonya sumu ya majoka; Na ulimi wa fira utamwua.


Atamaniye faida huifadhaisha nyumba yake mwenyewe; Bali achukiaye zawadi ataishi.


Mwenye jicho la ukarimu atabarikiwa; Maana huwapa maskini chakula chake.


Kuna mtu aliye peke yake, wala hana mwenzi wake; naam, hana mwana wala ndugu; hata hivyo amali yake haina mwisho, wala macho yake hayashibi utajiri. Basi asema, Ni kwa ajili ya nani nafanya kazi, na kujinyima nafsi yangu mema? Hayo nayo ni ubatili, naam, ni taabu kubwa.


Mwenye haki hupotea, wala hakuna atiaye hayo moyoni; na watu watauwa huondolewa, wala hakuna afikiriye ya kuwa mwenye haki ameondolewa asipatikane na mabaya.


Kwa sababu hiyo, Ee mfalme, shauri langu lipate kibali kwako; uache dhambi zako kwa kutenda haki, uache maovu yako kwa kuwahurumia maskini; huenda ukapata kuzidishiwa siku zako za fanaka.


Heri wenye rehema; Maana hao watapata rehema.


Wapeni watu vitu, nanyi mtapewa; kipimo cha kujaa na kushindiliwa, na kusukwasukwa hata kumwagika, ndicho watu watakachowapa vifuani mwenu. Kwa kuwa kipimo kile kile mpimacho ndicho mtakachopimiwa.


Si kwamba nakitamani kile kipawa, bali nayatamani mazao yanayozidi kuwa mengi, katika hesabu yenu.


Maana hukumu haina huruma kwake yeye asiyeona huruma. Huruma hujitukuza juu ya hukumu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo