Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 1:26 - Swahili Revised Union Version

Mimi nami nitacheka siku ya msiba wenu, Nitadhihaki hofu yenu ifikapo;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

nami pia nitayachekelea maafa yenu, nitawadhihaki mnapokumbwa na hofu,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

nami pia nitayachekelea maafa yenu, nitawadhihaki mnapokumbwa na hofu,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

nami pia nitayachekelea maafa yenu, nitawadhihaki mnapokumbwa na hofu,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

mimi nami nitawacheka katika maafa yenu, nitawadhihaki janga litakapowapata:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

mimi nami nitawacheka katika maafa yenu, nitawadhihaki wakati janga litawapata:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mimi nami nitacheka siku ya msiba wenu, Nitadhihaki hofu yenu ifikapo;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 1:26
11 Marejeleo ya Msalaba  

Yeye aketiye mbinguni anacheka, Bwana anawafanyia dhihaka.


BWANA atamcheka, Maana ameona kwamba siku yake inakuja.


Na Wewe, BWANA, utawacheka, Utawadhihaki mataifa yote.


Aogopacho mtu asiye haki ndicho kitakachomjilia; Na wenye haki watapewa matakwa yao.


Mtu atasifiwa kwa kadiri ya akili zake; Bali mwenye moyo wa ukaidi atadharauliwa.


Hukumu zimewekwa tayari kwa wenye mzaha; Na mapigo kwa mgongo wa wapumbavu.


Hakika yake huwadharau wenye dharau, Bali huwapa wanyenyekevu neema.


Basi msiba utampata kwa ghafla; Ghafla atavunjika, bila njia ya kupona.


Maana nawaambia ya kwamba katika wale walioalikwa, hakuna hata mmoja atakayeionja karamu yangu.


Tena itakuwa, kama vile alivyokuwa akifurahi BWANA juu yenu kwa kuwatendea mema na kuwafanya kuwa wengi, ndivyo atakavyofurahi BWANA juu yenu kwa kuwapoteza na kuwaangamiza; nanyi mtanyakuliwa katika hiyo nchi mwingiayo kuimiliki.


Haya, endeni mkaililie hiyo miungu mliyoichagua; na hiyo iwaokoe wakati wa kusumbuka kwenu.