Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 1:25 - Swahili Revised Union Version

Bali mmeupuuza ushauri wangu, Wala hamkutaka maonyo yangu;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

mkapuuza mashauri yangu yote, wala hamkuyajali maonyo yangu,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

mkapuuza mashauri yangu yote, wala hamkuyajali maonyo yangu,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

mkapuuza mashauri yangu yote, wala hamkuyajali maonyo yangu,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

kwa kuwa mliyapuuza mashauri yangu yote na hamkukubali karipio langu,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

kwa kuwa mliyapuuza mashauri yangu yote na hamkukubali karipio langu,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Bali mmeupuuza ushauri wangu, Wala hamkutaka maonyo yangu;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 1:25
13 Marejeleo ya Msalaba  

Naye BWANA akasema na Manase, na watu wake; wala wasiangalie.


lakini waliwadhihaki wajumbe wa Mungu, na kuyadharau maneno yake, na kuwacheka manabii wake, hata ilipozidi ghadhabu ya BWANA juu ya watu wake, hata kusiwe na kuponya.


Kwa sababu waliyaasi maneno ya Mungu, Wakalidharau shauri lake Aliye Juu.


Lakini watu wangu hawakuisikiliza sauti yangu, Wala Israeli hawakunitaka.


Hawakukubali mashauri yangu, Wakayadharau maonyo yangu yote.


Kila apendaye mafundisho hupenda maarifa; Bali yeye achukiaye kulaumiwa ni kama mnyama.


Adhabu kali ina yeye aiachaye njia; Naye achukiaye kukemewa atakufa.


Ukasema, Jinsi nilivyochukia maonyo, Na moyo wangu ukadharau kukemewa;


Ushauri ni wangu, na maarifa yaliyo sahihi; Mimi ni ufahamu, mimi nina nguvu.


kwa sababu hiyo, asema BWANA, Mungu wa majeshi, Mungu wa Israeli; Tazama nitaleta juu ya Yuda, na juu ya wenyeji wote wa Yerusalemu, mabaya yote niliyoyatamka juu yao; kwa sababu nimesema nao, wasinisikilize; nimewaita, wala hawakuniitikia.


Lakini, Mafarisayo na wanasheria walilipinga shauri la Mungu juu yao, kwa kuwa hawakubatizwa naye.


Mkarudi mkalia mbele za BWANA; BWANA asiisikize sauti yenu, wala hakuelekeza masikio yake kwenu.


Nanyi mtalia siku ile kwa sababu ya mfalme wenu mliyejichagulia; BWANA asiwajibu siku ile.